M Mkekuu JF-Expert Member Apr 7, 2012 1,237 170 Apr 23, 2012 #201 Zamu kiroboto sasa khs lawama na kt.
E elly1978 Senior Member Apr 28, 2009 180 38 Apr 23, 2012 #203 Upepo kweeeeeli umepita, huyu ndiyo JK bana
M motema yapembe Member Apr 1, 2012 22 2 Apr 23, 2012 #204 jamani ndio anahitimisha kwa kuwatakia wajumbe wote safari njema. wabunge naona kimya hawapigi hata makofi...,!
jamani ndio anahitimisha kwa kuwatakia wajumbe wote safari njema. wabunge naona kimya hawapigi hata makofi...,!
Izack Mwanahapa JF-Expert Member Apr 21, 2011 497 236 Apr 23, 2012 #205 Pinda amemaliza hotuba yake hajatoa tamko lolote kuhusu ubadhilifu wa fedha.
BPM JF-Expert Member Mar 10, 2011 2,760 573 Apr 23, 2012 #206 Duh hali sio . . . bi kiroboto anajifanya msafishaji
LiverpoolFC JF-Expert Member Apr 12, 2011 11,348 3,219 Apr 23, 2012 #208 Safety last said: Mod ondoa hii takataka ..! Click to expand... Tena ameiacha mpk muda huu! Sijui Mod anasubiria nini. nakuomba uifute hii thread!
Safety last said: Mod ondoa hii takataka ..! Click to expand... Tena ameiacha mpk muda huu! Sijui Mod anasubiria nini. nakuomba uifute hii thread!
K kuzou JF-Expert Member Oct 20, 2011 200 57 Apr 23, 2012 #209 wabunge hawatuwakilishi,basi kumbe hawana meno
A2 P Senior Member Mar 22, 2012 184 43 Apr 23, 2012 #210 wana jf imekwenda ndivyo sivyo. Jamaa kagoma kuwajibika. Tutegemee nini?
Jackbauer JF-Expert Member Oct 28, 2010 6,038 2,199 Apr 23, 2012 #211 namuona PM anamalizia speech yake ya kuahirisha bunge bila kugusia suala la ufisadi serikalini kwa mujibu wa report ya CAG.
namuona PM anamalizia speech yake ya kuahirisha bunge bila kugusia suala la ufisadi serikalini kwa mujibu wa report ya CAG.
J Jeho JF-Expert Member Jul 2, 2011 5,053 5,504 Apr 23, 2012 #212 Mr emmy said: Gooooooooooooooooo ni goli Pm kapiga goli la kisigino wapenzi wasikilizaji Click to expand... Hahahahahahahahahahah, goli la mwaka hilo. . "WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI".
Mr emmy said: Gooooooooooooooooo ni goli Pm kapiga goli la kisigino wapenzi wasikilizaji Click to expand... Hahahahahahahahahahah, goli la mwaka hilo. . "WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI".
Bondpost JF-Expert Member Oct 16, 2011 6,603 9,380 Apr 23, 2012 #213 CCM oyeee! Nguvu ya wananchi sasa inafuata nadhani.
BAI SM Member Nov 16, 2010 49 33 Apr 23, 2012 #214 Mnaosikiliza hotuba, mtujulishe kinachoendelea sasa!
Bigirita Platinum Member Feb 12, 2007 15,986 7,367 Apr 23, 2012 #215 Upuuzi wa ccm ni zaidi ya ujuavyo
N ndomyana JF-Expert Member Jan 24, 2012 5,511 2,034 Apr 23, 2012 #216 Hii ni zarau jamani chozi linanitoka,. Tanzania yangu tumekukosea nini watanzania,. E mungu mbona umetuchukia watanzania hivi,, aaaaa
Hii ni zarau jamani chozi linanitoka,. Tanzania yangu tumekukosea nini watanzania,. E mungu mbona umetuchukia watanzania hivi,, aaaaa
papason JF-Expert Member Sep 14, 2010 5,119 5,683 Apr 23, 2012 #217 kweli mama kiroboto amelipa fadhila kwa 'mabwana' zake
R Rweza Member Jun 18, 2011 77 42 Apr 23, 2012 #218 Hii ni aibu kubwa kwa wabunge na Pinda mwenyewe. Haiwezekani mambo yako hovyohovyo alafu bunge linaahirishwa kienyejikienyeji. Hovyo kabisa.
Hii ni aibu kubwa kwa wabunge na Pinda mwenyewe. Haiwezekani mambo yako hovyohovyo alafu bunge linaahirishwa kienyejikienyeji. Hovyo kabisa.
IsangulaKG JF-Expert Member Oct 14, 2010 706 386 Apr 23, 2012 #219 Huu utaratibu wa waziri mkuu kuahirisha Bunge yabidi uangaliwe upya katika katiba!
M Mkekuu JF-Expert Member Apr 7, 2012 1,237 170 Apr 23, 2012 #220 Mama anatoa rahi kwa waheshimiwa.kwamba beef c issue.