I 'm surprised it took you this long to realise this guy was an idiot!
Ha ha ha!
I 'm surprised it took you this long to realise this guy was an idiot!
You are entitled to your own opinion ila mzee kama wewe haumkubali basi ni wewe mwenyewe but to other he's doing a great job na kama ana kasoro ni za kibinadamu lakini all in all i appreciate whatever he's doing, sidhani kama ana kiherere na kupenda sifa kama alivyo Mkwerebinafsi, huyu mzee simkubali kabisa. Ana kiherehere tu,na mtu wa kupenda sifa machoni kwa watu huku akiwakandamiza walio chini yake...pia ni just another fisadi. Muda ukifika atakapotaka kwenda ikulu tutayaweka bayana wananchi wamjue.
inashangaza kuona makosa na gharama ya ama wizara husika,ama halmashauri ama manispaa husika wanabebeshwa wananchi walalahoi pekee; kwani hao waliotoa vibali wako wapi? kwanini na wao wasiwajibishwe? mnaogopana eeh
kwasababu mtu unakuta ana file lililopita kwa viongozi husika wote, kalipa kodi zote..eti ghafla barabara inapita chumbani kwake?! Jamani..au kwakuwa yeye ndio analala hapo, na nyie mnalala huko mnapolala
binafsi, huyu mzee simkubali kabisa. Ana kiherehere tu,na mtu wa kupenda sifa machoni kwa watu huku akiwakandamiza walio chini yake...pia ni just another fisadi. Muda ukifika atakapotaka kwenda ikulu tutayaweka bayana wananchi wamjue.
inashangaza kuona makosa na gharama ya ama wizara husika,ama halmashauri ama manispaa husika wanabebeshwa wananchi walalahoi pekee; kwani hao waliotoa vibali wako wapi? kwanini na wao wasiwajibishwe? mnaogopana eeh
kwasababu mtu unakuta ana file lililopita kwa viongozi husika wote, kalipa kodi zote..eti ghafla barabara inapita chumbani kwake?! Jamani..au kwakuwa yeye ndio analala hapo, na nyie mnalala huko mnapolala
Huyo Magufuli ana huruma sana, ilitakiwa aliyevamia eneo la barabara awajibike kulipia gharama za kuvunjiwa!