ELNIN0
JF-Expert Member
- Nov 26, 2009
- 4,161
- 1,461
"Enzi zile za mfumo wa ujamaa na chama kimoja cha siasa, hilo lingewezekana lakini wakati huu ambao nchi inatumia mfumo wa kibepari, haiwezekani," alisema Chikawe.
.
Oooh kumbe tupo kwenye UBEPARI pasee kwamba mwenye nguvu ya pesa ndiyo wa kusikilizwa, sasa nakubali kwa mtaji huu RA na wenzake HAWATAKAMATIKA.