Kubenea kaenda kutalii hakuna cha accid wala nini,mbona mwenzie haijamzuru?eti kwa kuwa alikuwa amevaa miwani,unaweza ukacharangwa mapanga vile alafu bado mawani yakabaki na kuzuiaacid isiingie.Nimeongea na dk Kinabo anasema kama ile ni acid basi itakuwa ni ndogo sana kwa kiwango ambacho ni sawa na acid ambayo inaweza kuwa imetengenezwa kwa majani ya chai..ata hivyo akasisitiza kuwa hakuona umuhimu wa kumpeleka india labda kutembea.
Kubenea kaenda kutalii hakuna cha accid wala nini,mbona mwenzie haijamzuru?eti kwa kuwa alikuwa amevaa miwani,unaweza ukacharangwa mapanga vile alafu bado mawani yakabaki na kuzuiaacid isiingie.Nimeongea na dk Kinabo anasema kama ile ni acid basi itakuwa ni ndogo sana kwa kiwango ambacho ni sawa na acid ambayo inaweza kuwa imetengenezwa kwa majani ya chai..ata hivyo akasisitiza kuwa hakuona umuhimu wa kumpeleka india labda kutembea.
Mpaka sasa najiuliza sababu za ki taratibu na kisera za kumtibu huyu mhariri!!! sijazipata!!!
Kubenea kaenda kutalii hakuna cha accid wala nini,mbona mwenzie haijamzuru?eti kwa kuwa alikuwa amevaa miwani,unaweza ukacharangwa mapanga vile alafu bado mawani yakabaki na kuzuiaacid isiingie.Nimeongea na dk Kinabo anasema kama ile ni acid basi itakuwa ni ndogo sana kwa kiwango ambacho ni sawa na acid ambayo inaweza kuwa imetengenezwa kwa majani ya chai..ata hivyo akasisitiza kuwa hakuona umuhimu wa kumpeleka india labda kutembea.
ES
Mawazo yako hayana tofauti na baadhi ya watu wanaopenda kupata majibu ya haraka bila kutumia muda kutafakari.
Jana nilisikitika nilipoanagalia Taarifa ya Habari na leo niliposoma Tamko La BAVICHA,Mzee Mengi,Makunga,Sakina Datoo hawa nao niliona ni kwa kiwango gani walivokua wavivu wakufikiri pale walipo toa hukumu kabisa kua Kuvamiwa kwa kubenea kuna Uhusiano wa moja kwa moja na UANDISHI wake,hawa watu ktk matamko yao walitoa hukumu kabisa kua kubenea amehujumiwa,kama ilivo kwa JOHN MNYIKA ( ingiwa najua tatizo lake ni uanaharakati,na tabia yao nikutafuta majibu rahisi)kudai kua
vijana waliofanya tukio wametumiwa na mafisadi so wasitumike, bila kukumbuka kua mmoja alie kamatwa ana miaka 65 sijui kama ni kijana.
RIOBA ktk waongeaji alikua more objective na hakutaka kuhukumu ingawa Prof wangu Shivji nae jana kidogo nilijiuliza is it uzee unamuanza au ni bcs nae ameaminishwa kua kubenea amehujumiwa na mafisadi, Mengi yeye simshangai ni mzee wa kuchukua oppprtunities na always hua ni mtu wa kukurupuka.
JANA NILIULIZA MASWALI HAPA JF KUA KAMA KWELI KUBENEA AMEKUA ANAKUMBANA NA VITISHO (JE ALISHINDWA KUWEKA ANGALAU MLINZI WA KIMASAI KTK OFISI YAKE? PIA WHY WATU WANAKIMBILIA KUDAI KUA AMEHUJUMIWA BCS YA UANDISHI WAKE NA TUSIJIULIZE MASWALI MADOGO MAY BE KADHULUMU,KACHUKUA MKE WA MTU,AU WALIOVAMIA NI VIBAKA,OR NI MATEJA BCS HATA SILAHA ZAO NI MAARUFU MIONGONI MWA MATEJA,etc)
Watanzania wengi wanataka kuaminishwa kwamba tukio hilo ni hujuma kwa vigezo kua amekua akipata sms za vitisho,or ametaka kugongwa naGARI makusudi,hivi kwa siku ni wangapi wanapoteza maisha kwa kugongwa na magari either kwa uzembe wa DEREVA au wa mtumiaji wa njia mwenyewe,why tusijiulize kubenea inawezekana alikua amelewa akashindwa kufata sheria za barabarani or dereva aliemkosa alikua amelewa mzembe.
Nachoomba kuptia Forum hii WAANDISHI walifanye tukio hili kama matukio mengine mpaka pale uthibitisho utakapo kua kweli ni hujuma.
Ni hatari kwa jamii kuwapa nafasi watu kama SAKINA DATOO wa SUNDAY CITIZEN bcs mara nyingi amekua ni mtu ambae ni opportunist wanao fanya nae kazi wanlijua hilo anapotoa kauli zake mara nyingi hana Facts,na anakua ni mtu wa kuongozwa na HISIA zaidi,MAKUNGA jana alionyesha kitu cha ajabu kua waandishi wanafanya uchunguzi kabla ya kuandika (theme ya maongezi yake) lakini nilishangaa je kabla ya kuongea alikua amefanya uchunguzi wa kiwango GANI? MAMA TAMWA sijashangaa ni NATURE ya kazi yake wana harakati mara nyingi ni watu hatari sana bcs to them kilakitu ni opportunity kama alivo wahi kusema PROF WANGU MAREHEMU CHACHAGE (TO TRUST ACTIVIST IS NOT SAFE AS TO TRUST REVOLUTIONIST)
Wana JF inawezekana ni kweli kahujumiwa,nani hatujui thats why TIBA anafanya uchunguzi tusubiri matokeo tujaribu kuangalia jambo la kubenea kwa mapana zaidi isije tukaifanya FANI YETU YA HABARI NI CHAKA LA MAOVU kila mwandishi akiguswa basi tu conclude hujuma bcs ni mwandishi ifike mahali tuliangalie jambo kwa UHALISIA WAKE kuliko HISIA.
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
Huyu JK apimwe akili jamani,mtu mwenye akili timamu achilia mbali mkuu wa nchi na Amiri jeshi mkuu hawezi kutamka maneno kama hayo kwenye media]...duh jk opportunistic kweli...alafu anaposema kuwa ""waandishi mnapoandika habari za watu mchukue tahadhari kwa kuwa kuna watu hawataki habari zao ziandikwe" hapo ana maana gani? kama amiri jeshi mkuu anasema hivyo tukimbilie wapi??....
Karibu Fisadi Mtoto,naona umekuja na jina lingine.Karibu sanaTangu jamaa kamwagiwa tingikali ambayo naamini ilikuwa too much neutralized, ndio maana haijamchubua hata ngozi, watu wamukuwa wakiolaani sana hapa but mimi naamini amepewa zawadi yake ya mwaka mpya na wale aliowachafua
Mwanakijiji
Kula sahani moja na Mtot wa mkulima. Huyu anaonekana ana nafasi fulani CCM. Haburuzwi mtu hapa.