EmeraldEme
Senior Member
- Mar 8, 2012
- 116
- 20
Bodi ya Wakurugenzi ya TANESCO inakutana leo muda huu ili kumuondoa Mkurugenzi Mtendaji Injinia William Mhando licha ya kwamba tume huru ya kumchunguza imemkuta hana makosa. Lengo kuu ni ku pre empty report ya Ngwilizi.
Mambo mbalimbali ambayo kamati ya Ngwilizi ilichunguza ni kama ifuatavyo:
Uagizaji wa Misumari
Kamati ilichunguza na ikabainika kuwa misumari iliagizwa mwaka 2004(wakati huo Mhando alikua Zonal Manager-Southern Higherlands)kipindi ambacho TANESCO ilikuwa ikiongozwa na NETGROUP SOLUTIONS ya SouthAfrica, na bidhaa hiyo ilikosewa, ikaja kuwa rectified wakaleta bidhaa husika.
NGUZO:
Kamati ilibaini kuwa sio kweli kwamba nguzo zinaagizwa Sao na kupelekwa Nairobi kisha kuletwa hapa kwa kivuli cha kuwa zimeagizwa South Africa. Kamati ilipata taarifa za uagizaji wa nguzo kutoka South africa Revenue Board, Kenya Revenue Authority na Tanzania Revenue Authority.
Kamati huru ilifuatilia tuhuma za kampuni za Mc Donald live line na ile ya St Clara ambapo zote ilikuja kugundulika kuwa yalikuwa ni majungu tu na hakuna ukweli wowote. Zaidi sana, hata process za tender zilifanywa na kufuatwa kulingana na Sheria na zilikua approved na Mwanasheria wa TANESCO.
Bodi ya Wakurugenzi imeagizwa kwenda kinyume na taarifa hiyo ili kumuondoa kazini Mhando. Kimsingi kazi ya bodi ilipaswa kusubiri taarifa ya Ngwilizi na maazimio yake ili kuona hatua zinachukuliwa.
Nia ya kufanya uchunguzi sio kumuonea mtu, ila kuacha haki itendeke, kwa mtoa tuhuma na kwa mtuhumiwa.
Source: kutoka ndani ya kamati zote 2.
Mambo mbalimbali ambayo kamati ya Ngwilizi ilichunguza ni kama ifuatavyo:
Uagizaji wa Misumari
Kamati ilichunguza na ikabainika kuwa misumari iliagizwa mwaka 2004(wakati huo Mhando alikua Zonal Manager-Southern Higherlands)kipindi ambacho TANESCO ilikuwa ikiongozwa na NETGROUP SOLUTIONS ya SouthAfrica, na bidhaa hiyo ilikosewa, ikaja kuwa rectified wakaleta bidhaa husika.
NGUZO:
Kamati ilibaini kuwa sio kweli kwamba nguzo zinaagizwa Sao na kupelekwa Nairobi kisha kuletwa hapa kwa kivuli cha kuwa zimeagizwa South Africa. Kamati ilipata taarifa za uagizaji wa nguzo kutoka South africa Revenue Board, Kenya Revenue Authority na Tanzania Revenue Authority.
Kamati huru ilifuatilia tuhuma za kampuni za Mc Donald live line na ile ya St Clara ambapo zote ilikuja kugundulika kuwa yalikuwa ni majungu tu na hakuna ukweli wowote. Zaidi sana, hata process za tender zilifanywa na kufuatwa kulingana na Sheria na zilikua approved na Mwanasheria wa TANESCO.
Bodi ya Wakurugenzi imeagizwa kwenda kinyume na taarifa hiyo ili kumuondoa kazini Mhando. Kimsingi kazi ya bodi ilipaswa kusubiri taarifa ya Ngwilizi na maazimio yake ili kuona hatua zinachukuliwa.
Nia ya kufanya uchunguzi sio kumuonea mtu, ila kuacha haki itendeke, kwa mtoa tuhuma na kwa mtuhumiwa.
Source: kutoka ndani ya kamati zote 2.