Curious Naturally
JF-Expert Member
- Mar 2, 2013
- 528
- 516
Kwa wale walioangalia taarifa ya habari ya Azam TV leo saa 2, wameona jinsi mhadhiri wa sheria alivyoelezea kwamba TCRA ndiyo yenye mamlaka kamili. Je, waziri wetu Mh. Nape Mosses Nauye kakosea kwenye hili??