Mwana Mtoka Pabaya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 15,118
- 16,470
Kwa hiyo akiuliwa mwizi mtaani issue inabaki ni moja tu...kosa limetendeka au la?!Issue ni moja tu je kosa limetendeka au la?
Kwa hiyo akiuliwa mwizi mtaani issue inabaki ni moja tu...kosa limetendeka au la?!Issue ni moja tu je kosa limetendeka au la?
Hata kama limetenda... Je nani mwenye mamlaka ya kuhukumu???Issue ni moja tu je kosa limetendeka au la?
Hapa swala sio Magazeti ni Radio..Fenera Mkangara aliwahi kufungia Magazeti kipindi WAZIRI au hakuwahi? Kama aliwahi katiba imerekebishwa lini?
TCRA iko chini ya wizara ya habari? ndio madhara ya kukurupuka haya...google ni rafiki yako mkuu...mtumie vizuri. Kwa habari yako TCRA iko chini ya wizara ya mawasiliano, uchukuzi na ujenzi...waziri ni Makame Mbarawa. Nape hahusiki TCRATCRA iko chini ya wizara ya habari hivyo waziri Nape anamamlaka zaidi
Yuko sahihi
Mfano umekuta mke wa jirani yako katenda kosa, unaweza kumuadhibu? Hiyo mamlaka iko kwa mumewe na siyo wewe..Issue ni moja tu je kosa limetendeka au la?
Mkuu nimeanza kuhisi kwamba hili jamvi siyo home of the great thinkers tena. Hebu fikiri kuna watu wawili kwenye hii thread wanadai TCRA iko chini ya wizara ya habari! Mpaka nimeishiwa nguvu. Hivi tutafika kweli?Hapa swala sio Magazeti ni Radio..
nimecheka mpaka busTutaweka flash na memory card
Acha kuongea usilo lijua weweTcra wako chini ya waziri kifupi tcra ni watoto wa nape...so baba akiamua hakuna wa kipinga na hao wahadhiri ndo wanafiki kama akina lipumba
Hajakurupuka, ila anafanya kazi kwa mzuka tu!Kwa hiyo waziri mwenye dhamana ya habari kakurupuka au?
Hili ni janga.... Watanzania tumekuwa tunaongozwa na mahaba.... Mambo ya Msingi tunayapeleka Kishabiki...Mkuu nimeanza kuhisi kwamba hili jamvi siyo home of the great thinkers tena. Hebu fikiri kuna watu wawili kwenye hii thread wanadai TCRA iko chini ya wizara ya habari! Mpaka nimeishiwa nguvu. Hivi tutafika kweli?
uko sawa mkuu,TCRA iko chini ya wizara ya habari? ndio madhara ya kukurupuka haya...google ni rafiki yako mkuu...mtumie vizuri. Kwa habari yako TCRA iko chini ya wizara ya mawasiliano, uchukuzi na ujenzi...waziri ni Makame Mbarawa. Nape hahusiki TCRA
Ninavyoona mimi, TCRA ndiye regulator wa TV na Radio stations zote nchini...na kwakua tumekubaliana kwamba TCRA wako chini ya wizara ya mawasiliano...basi it goes to reason kwamba radio ziko chini ya wizara ya mawasiliano.uko sawa mkuu,
basi niambie radio zinasimamiwa na wizara gani
Huwezi kutulazimisha kuwapenda tusiowapenda.Tatizo lenu in moja tu....mlikuwa mnawachukulia poa poa sana kina Mwigulu,Nape,January Leo hii wamekuwa viongoz kwenye serikali NA wanawaamulia mambo yenu mengi tu...inabidi muwaheshimu tu hakuna namna ndio viongoz wenu kwasasa .
Kusema ukweli? Tanzania imejaa wajinga hii! Wale Magic FM walisema kama Rais anavunja katiba ni kosa kisheria asitegemee watu anao waongoza kufuata sheria.Kama baba ni mwizi kuna uwezekano Mkubwa watoto wakawa wezi pia.Issue ni moja tu je kosa limetendeka au la?
Your conclusion is not only naive but also childish.Ni sawa na kusema kwakuwa polisi iko chini ya Wizara ya mambo ya ndani, basi waziri Wa mambo ya ndani ana mamlaka ya kukamata wahalifu na kuwaweka jela! Tuna wajibika kufuata Katiba.Ninavyoona mimi, TCRA ndiye regulator wa TV na Radio stations zote nchini...na kwakua tumekubaliana kwamba TCRA wako chini ya wizara ya mawasiliano...basi it goes to reason kwamba radio ziko chini ya wizara ya mawasiliano.
Sent from my SM-G7102 using JamiiForums mobile app
Duuuh kila mmoja anazungumza lake.Kwa wale walioangalia taarifa ya habari ya Azam TV leo saa 2, wameona jinsi mhadhiri wa sheria alivyoelezea kwamba TCRA ndiyo yenye mamlaka kamili. Je, waziri wetu Mh. Nape Mosses Nauye kakosea kwenye hili??
CHAMA CHA KUTAPATAPA KINAJIKONGOJA.Kwa wale walioangalia taarifa ya habari ya Azam TV leo saa 2, wameona jinsi mhadhiri wa sheria alivyoelezea kwamba TCRA ndiyo yenye mamlaka kamili. Je, waziri wetu Mh. Nape Mosses Nauye kakosea kwenye hili??