Mh. Zitto katika hili la GMO unastahili kuungwa mkono

Noboka

JF-Expert Member
Nov 12, 2011
1,246
626
Akichangia makadirio ya hotuba ya wizara ya kilimo Mh. Zitto alitoa ufafanuzi namna serikali inavyotaka kutupeleka kwenye matatizo kwa kushadadia suala la GMO kuingizwa Tanzania. Kiukweli Mh.

Zitto katika hili unastahili pongezi na ninatarajia wakati bajeti ya Wizara ya kiliko inapitishwa hili la GMO litaondolewa. Nitasikitika sana kama wabunge wanaotoka kwenye mikoa inayolima pamba, kina Mh.

Kingwangala wakiunga mkono hili suala la GMO, kwani ndani ya mwaka mmoja tu tayari madhara kwa wakulima yameanza.

My take
Serikali ingetakiwa kuwekeza kwenye vyuo vyetu kama Ukiriguru ili watafiti walioko kule watuzalishie mbegu kuliko hii haraka ya kukimbila kwenye GMO
 
wacha waje wanaifahamu hyo GMO? kwa sababu hujadadavua, umetufanya ka wote tumesikia hoja/ mawazo ya Zitto, napita mkuu wakija
 
Kama tunataka kupoteza Genetic Resources zetu ambazo zimeweza kustahimili mazingira yetu, basi tujaribu GMO. Tukishaingia kwenye mtego huu, hatutachomoka kamwe, kwani itabidi tutengenezewe hizo mbegu na pembejeo zingine na hao wenye viwanda na utaalamu wa hayo madudu. Tusigahfilike na ahadi ya kuwa GMO inamazao mengi, kwanini tusitumie genetic resources tulizonazo kuziboresha?? Matatizo yanayoweza letwa na GMO ni makubwa zaidi kuliko faida tunazoziimba.
 
wacha waje wanaifahamu hyo GMO? kwa sababu hujadadavua, umetufanya ka wote tumesikia hoja/ mawazo ya Zitto, napita mkuu wakija

bila shaka ni genetic modified organism. watu hawataki uasilia wa vitu, wanataka vya kichina zaidi
 
Kama tunataka kupoteza Genetic Resources zetu ambazo zimeweza kustahimili mazingira yetu, basi tujaribu GMO. Tukishaingia kwenye mtego huu, hatutachomoka kamwe, kwani itabidi tutengenezewe hizo mbegu na pembejeo zingine na hao wenye viwanda na utaalamu wa hayo madudu. Tusigahfilike na ahadi ya kuwa GMO inamazao mengi, kwanini tusitumie genetic resources tulizonazo kuziboresha?? Matatizo yanayoweza letwa na GMO ni makubwa zaidi kuliko faida tunazoziimba.

Unaongea kitaalam au kisiasa kwa vile aliyeongea anatoka unakoshabikia? Hebu kwanza tuambie taaluma yako isje ikawa unajua kusoma na kuandika basi.
 
Huo ni mpango maalumu wa mataifa makubwa ya kimagharibi kupitia UN kutokomeza uzalishaji wa chakula asilia barani Africa, South America na Asia ili tuwategemee wao hapo baadae na conditions juu ili watutawale vizuri na kuchukua rasilimali zetu kwa nguvu zaidi na ari zaidi.
 
Unaongea kitaalam au kisiasa kwa vile aliyeongea anatoka unakoshabikia? Hebu kwanza tuambie taaluma yako isje ikawa unajua kusoma na kuandika basi.

We kengemumaji hili sio swala la kisiasa ni swala lihusulo maisha ya watu directly.
 
Unaongea kitaalam au kisiasa kwa vile aliyeongea anatoka unakoshabikia? Hebu kwanza tuambie taaluma yako isje ikawa unajua kusoma na kuandika basi.

Napenda nikutoe shaka Ndugu yangu Kengemumaji kuwa mimi ni mtaalamu wa genetic Resources and Population Diversity (to a molecular level). Kwenye swala hili sijaweka ushabiki kama unavyofikiri, ni swala la utaifa na kuokoa rasilimali zetu muhimu.
 
Unaongea kitaalam au kisiasa kwa vile aliyeongea anatoka unakoshabikia? Hebu kwanza tuambie taaluma yako isje ikawa unajua kusoma na kuandika basi.

Hapa ndipo tulipofika wa Tanzania, kila kitu siasa, siku hizi hoja haiangaliwi mnaangalia aliyeleta katoka chama gani. Nenda kwenye google katafute hicho kinachoitwa Genetic modified organism (GMO) na madhara yake ndiyo uone kuwa serikali inataka kutupeleka kusiko na mwisho wa siku madhara ya hii kitu si kwa CHADEMA wala CCM ni janga la taifa. Kwenye madini wametumaliza na sasa wanataka kwenye kilimo badala ya kutafuta taarifa zaidi unakuja na habari za kisiasa hapa, haya endelezeni siasa lakini mbele ya safari wajukuu watapiga makaburi yetu kuwa hatukutimiza wajibu wetu
 
Napenda nikutoe shaka Ndugu yangu Kengemumaji kuwa mimi ni mtaalamu wa genetic Resources and Population Diversity (to a molecular level). Kwenye swala hili sijaweka ushabiki kama unavyofikiri, ni swala la utaifa na kuokoa rasilimali zetu muhimu.
Ccm walifikiri umetukana wakaanza kuPm mamods ili wakuchape ban
 
Hapa ndipo tulipofika wa Tanzania, kila kitu siasa, siku hizi hoja haiangaliwi mnaangalia aliyeleta katoka chama gani. Nenda kwenye google katafute hicho kinachoitwa Genetic modified organism (GMO) na madhara yake ndiyo uone kuwa serikali inataka kutupeleka kusiko na mwisho wa siku madhara ya hii kitu si kwa CHADEMA wala CCM ni janga la taifa. Kwenye madini wametumaliza na sasa wanataka kwenye kilimo badala ya kutafuta taarifa zaidi unakuja na habari za kisiasa hapa, haya endelezeni siasa lakini mbele ya safari wajukuu watapiga makaburi yetu kuwa hatukutimiza wajibu wetu

Atakapokuja kushindwa kuzungusha mbegu za mahindi kule kijijini na kuanza kutekemea makampuni ya ughaibuni ili kuweza kupata mbegu kwa bei watakayotupangia wao ndiyo ataweza kutofautisha utaalamu na ushabiki wa kisiasa. Maana tukishapoteza hizi rasilimali za vinasaba (gene), ujue tutaanza kununua technology badala ya bidhaa. Mfano mzuri ni kama vifaranga vya kuku wa nyama ama mayai, huwa tunanunua techology badala ya bidhaa (maana bei halisi ya vifaranga ni ndogo sana kulinganisha na technolojia tunayonunua).
 
hao hao wazungu kwa sasa hawataki nyanya au mazao yenye mbolea za chumvi,madawa kama DDT na huku wao ndio waliotuletea
 
Mkuu, magamba imani yao huwa ipo kwa Wazungu tu, hayo yanayopendekezwa eti Ukiruguru (May be na Uyole Mbeya) sidhani, nchi hii wataalaum wa Kitanzania hawatakiwi kabisa, kwani hujasikia Serikali imetenga Tsh 200 MB kwajili ya madaktari wa nje? which means wa kibongo hawatakiwi kutumia pesa au kuagiziwa zana za kazi!
 
wacha waje wataalam watupe elimu ila zito namkubali, ni jembe la ukweli
 
Sijui kama watanzania kama Kabwe Zitto wanafahamu kwa undani maana ya GMOs na sijui kama Mhe. Zitto anajua hata yeye ni mtumiaji mzuri wa GMO huko mahotelini (ndani na nje ya nchi, nyumbani na hata nguo alizovaa??).

Hatuwezi kuzuia hilo katika mfumo huu wa biashara holela na usimamizi hafifu wa Sheria na Kanuni zetu au rushwa katika mipaka yetu. Kama wageni haramu wameweza kuingia nchini na kukamatiwa katikati ya nchi, iweje kwa bidhaa au mazao ya GMOs?? ..Kenya waliona hilo mapema hawakuwa kama sisi ambao tunapinga tu vitu, badala yake wameweka Sheria kali ya kusimamia GMOs tokea mwaka 2009 na kuanzisha chombo cha Uratibu. Sisi Sheria yetu ya Mazinginra (EMA, 2004) inaruhusu pia GMOs na mwaka 2009, Seriklai kupitia Sheria hiyo ilitunga Kanuni za Kusimamia masuala ya GM na GMOs (Biosafety Regulations, 2009):

EMA, 2004 Sect. 2: ''Genetically Modified Organism (GMO) means any biological entity capable of replication or transfer of genetic information, and includes plant, animals, bacteria and all, other kinds, of micro-organisms, cell cultures, viruses'. plasmids and other kinds of vectors, created and propagated; by means of cell or gene technology; in which the genetic material has been altered in a way that does not occur, naturally.

Section 67.-(1) The Minister may, in consultation with relevant sector Ministry, make regulations providing for in-situ conservation
of biological diversity.


(2) Regulations made under this section may prescribe:

(g) the establishment or management of the risks associated with the use and release of living modified organisms resulting from biotechnology which are genetically modified and which are likely to have adverse environmental impacts that could affect the conservation and sustainable use of biological diversity, taking also into account the risks to human health as well as social, economic cultural and ethical concern;

(h) prevention of the introduction of control or eradicate of those alien species which threaten ecosystems, habitats or species.

Section 69-(1) Without prejudice to any law governing Biosafety and biotechnology, any person who develops, handles, uses, import or export genetically modified organisms (GMO) and, or their product shall be under general obligation to ensure that such organisms do not harm, cause injury or loss to the environment and human health including socio-economic, cultural and ethical concerns
.

(2) The harm, injury or loss include personal injury, damage to property, financial loss, and damage to environment or to biological diversity.

(3) In this section ''organisms'' means any active, ineffective or dormant stage or life from of an entity characterized as living, including plants, bacterial, fungi, mycoplasmas like entities vertebrate and invertebrate animals, as wells as entities such as various, viruses or any living entity related to it.




The National Biosafety Authority (NBA) was established by the Biosafety Act No. 2 of 2009 to exercise general supervision and control over the transfer, handling and use of genetically modified organisms (GMOs). GMOs are products of Modern Biotechnology that involve the manipulation of the genetic material of organisms through genetic engineering procedures.

The objective and purpose for which the Authority was established is to regulate research and commercial activities involving GMOs with a view to ensuring safety of human and animal health and provision of an adequate level of protection of the environment. To achieve this objective, thae Authority shall establish a transparent science-based and predictable process to guide decision making on applications for approval of research and commercial activities involving GMOs.

The National Biosafety Authority implements the Cartagena protocol on Biosafety in order to address safety for the environment and human health in relation to modern biotechnology.

The National Biosafety Authority is under the Ministry of Higher Education Science & Technology and has the following duties & responsibilities:

Kenya Biosafety Act 2009

This is an act of parliament to regulate activities in genetically modified organisms, to establish the National Biosafety Authority, and for connected purposes. This ushers into the country a new era of technology advancement for agricultural production. The law now paves the way for Kenya to undertake commercial production of genetically modify crops.This is as follows:

Home
 
Hapa ndipo tulipofika wa Tanzania, kila kitu siasa, siku hizi hoja haiangaliwi mnaangalia aliyeleta katoka chama gani. Nenda kwenye google katafute hicho kinachoitwa Genetic modified organism (GMO) na madhara yake ndiyo uone kuwa serikali inataka kutupeleka kusiko na mwisho wa siku madhara ya hii kitu si kwa CHADEMA wala CCM ni janga la taifa. Kwenye madini wametumaliza na sasa wanataka kwenye kilimo badala ya kutafuta taarifa zaidi unakuja na habari za kisiasa hapa, haya endelezeni siasa lakini mbele ya safari wajukuu watapiga makaburi yetu kuwa hatukutimiza wajibu wetu


Aisee hii kitu GMO ni mbaya sana, kama serikali inataka kuuwa kilimo basi ijiingize kwenye ma-gmos. Maana inaharibu rutuba ya udongo, itawalazimu wakulima kuzitumia hizo modified seeds milele na hazinaga rotation ya mbegu (huwezi kutumia nafaka iliyovunwa kuwa mbegu), so gharama za kilimo zitapanda sana kwa faida ya viwanda vinavyozalisha GMOs, Kitu kingine mazao ambayo ni organic ndiyo yenye soko zaidi sasa Tanzania ikikubaliana tu na hayo makampuni yanayouza hizo gmos ndo itakuwa imeliua hata lile soko dogo la mazao tulilokuwa nalo nje.
 
Ndio maan mashamba yenu ya rutuba mnapanda mibono huku lindi mna wewe kibao maana mtawaachia nishati (uranium na wese) na kuchakachua ardhi. You will vanished after 500 years in this erath kwa kufikiri kwa masaburi. ZITo you are right saana.
 
Back
Top Bottom