Akichangia makadirio ya hotuba ya wizara ya kilimo Mh. Zitto alitoa ufafanuzi namna serikali inavyotaka kutupeleka kwenye matatizo kwa kushadadia suala la GMO kuingizwa Tanzania. Kiukweli Mh.
Zitto katika hili unastahili pongezi na ninatarajia wakati bajeti ya Wizara ya kiliko inapitishwa hili la GMO litaondolewa. Nitasikitika sana kama wabunge wanaotoka kwenye mikoa inayolima pamba, kina Mh.
Kingwangala wakiunga mkono hili suala la GMO, kwani ndani ya mwaka mmoja tu tayari madhara kwa wakulima yameanza.
My take
Serikali ingetakiwa kuwekeza kwenye vyuo vyetu kama Ukiriguru ili watafiti walioko kule watuzalishie mbegu kuliko hii haraka ya kukimbila kwenye GMO
Zitto katika hili unastahili pongezi na ninatarajia wakati bajeti ya Wizara ya kiliko inapitishwa hili la GMO litaondolewa. Nitasikitika sana kama wabunge wanaotoka kwenye mikoa inayolima pamba, kina Mh.
Kingwangala wakiunga mkono hili suala la GMO, kwani ndani ya mwaka mmoja tu tayari madhara kwa wakulima yameanza.
My take
Serikali ingetakiwa kuwekeza kwenye vyuo vyetu kama Ukiriguru ili watafiti walioko kule watuzalishie mbegu kuliko hii haraka ya kukimbila kwenye GMO