mkonomtupu
JF-Expert Member
- Jul 5, 2011
- 441
- 118
Wakati akichangia bajeti ya wizara ya ulinzi Mh Zitto ameweka nia ya kuwasilisha hoja binafsi kutaka iundwe tume kuchunguzwa kwa deni la m
habari yako haijajitoshereza au ulikuwa unataka sifa uonekane wewe ndo umeanzisha thread?
Join Date : 5th July 2011Wakati akichangia bajeti ya wizara ya ulinzi Mh Zitto ameweka nia ya kuwasilisha hoja binafsi kutaka iundwe tume kuchunguzwa kwa deni la m
Mkuu umenifurahisha sana teh! teh!habari yako haijajitoshereza au ulikuwa unataka sifa uonekane wewe ndo umeanzisha thread?
Mkuu umenifurahisha sana teh! teh!
Mkuu Cashwise au huyu dogo gamba?Join Date : 5th July 2011Posts : 1 Rep Power : 0Mkuu mkono mtupu karibu sana JF, kumbuka hapa siyo FB, acha kukurupuka kuleta habari hazijakamilika...
teh! teh! Igunga leo ni chereko chereko! Gamba limevuka!Msalimie MS yupo Igunga
atakama akipeleka hoja watapiga vijembe kwa uwingi wao magambaNamuunga mkono Zito deni la $10million, bank kuu ya Tanzania inalilipa kwa $132million. This is shame!!!! Halafu eti bado tunaendelea kukopa hela kwa wafadhili.
Namuunga mkono Zito deni la $10million, bank kuu ya Tanzania inalilipa kwa $132million. This is shame!!!! Halafu eti bado tunaendelea kukopa hela kwa wafadhili.