ZionGate
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 6,345
- 2,953
Mkuu Thatha embu sema Pepsi teh teh teh....Akili yako haina tofauti na ya WENJE.
Mkuu Thatha embu sema Pepsi teh teh teh....Akili yako haina tofauti na ya WENJE.
Mkuu.Aisee, KAKA naweza kuamini kabisa, huyu jamaa anaongea tena bila aibu kuwa viongozi wa Tanzania ndiyo wana makosa anashindwa hata kuelewa tatizo limeanzia wapi mpaka kufikia viongozi kuona haja ya kutoendelea kuwang'ang'ania watu wasiyo na mwelekeo. kumbe ndiyo maana hata wananchi wa NYAMAGANA hawana hamu tena na WENJE, jamaa ni mweupe kweli kweli.
Magufuli nani alimfadhili kupiga Kampeni Kenya kipindiki kile cha uchaguzi..Mkuu.
Unadhani nakudanganya hata mikutano yake pale Mwanza Bugarika alikuwa anafadhiliwa na kina Odinga ushahidi upo tena wa picha.
namskiliza hapa anaongea vzr unafaa kua waziri kivuri wa mambo ya nje.
mbona hata wewe katika huu mchango wako hapa hujaonyesha weledi? ungetuambia ulichotegemea aseme au ungekosoa hoja ambayo wewe unadhani ameikoroga kisha utuambie wewe unadhani ilipaswa iweje lakini ulichokifanya hapa ni kama mwimba pambio asiye jua key anayoimbiaNimemsikiliza na nimesikitika mno. Hana uelewa wa 'regional integration' kabisa. Kitu kimoja nimejifunza: kuna wabunge wako bungeni kwa sababu tu wenye weledi wa mambo wamegoma/hawataki/hawawezi kwenda kugombea. Acha tuwapate akina Lusinde 'kibajaji', Kapteni Komba, Sugu, Wenje...!
Kama watu kama kina WENJE ndo wanategemewa CHADEMA, basi chama hakina watu, hivi anachokisema anaikiri anawafurahishwa Wakenya au Watanzania?