leroy
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 1,590
- 2,141
Mimi nilikuwa ni mmoja wa watu waliokubali ushawishi mkubwa wa Mh. Joseph Mbilinyi a.k.a. Sugu juu ya unyonyaji na negatives nyingine nyingi zinazofanywa na Redio hii dhidi ya wasanii.
Tangu kipindi hicho nilimkubali Sugu na kuachana nayo.
Hapa katikati nilisikia taarifa za suluhu kati ya Sugu na mmiliki wa taasisi na kituo hiki.
Namuomba kama akiweza atushawishi upya mimi na wenzangu kuiamini Redio hii na kuanza kuisikiliza upya.
Tangu kipindi hicho nilimkubali Sugu na kuachana nayo.
Hapa katikati nilisikia taarifa za suluhu kati ya Sugu na mmiliki wa taasisi na kituo hiki.
Namuomba kama akiweza atushawishi upya mimi na wenzangu kuiamini Redio hii na kuanza kuisikiliza upya.