Allency
JF-Expert Member
- Jan 27, 2011
- 13,734
- 13,104
Propaganda ya tetemeko mliitumia mkaangukia pua. Mbunge wetu mwenyewe ambaye ni chadema alijitenga na ujinga huo na kushirikiana na viongozi kumaliza tatizo ninyi mkiwa mitandaoni. Unapajua bukoba wewe? Hatupendagi akili za kijinga na mihemuko. Watu huko wapo salama.
Kweli wew kichwa maji kama ccyemu wengine, yani pamoja na matusi yale lakini bado unajisikia fahari eti uko salama, waweza kujitofautishaje na yule aliyesema katolewa kwenye vumbi na bado akatukanwa lakini kicheko hakimuishi