Ndebile
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 7,237
- 9,871
Hii quote ya Martin imenigusa, siku zote mimi huwa sina wasiwasi na hizi pokopoko za waislam dhidi ya wakristo, MOU, OIC, mahakama ya kadhi etc kwasababu mimi si muumini wa hizi dini zilizoletwa na majahazi.
Hata hivyo kuna siku vita ya msaraba inaweza kurudi tena eti? Unakuta kizuizi barabarani wanakuuliza dini gani,ukisema ya asili unakula panga! Asante Mh.Lema!
Hata hivyo kuna siku vita ya msaraba inaweza kurudi tena eti? Unakuta kizuizi barabarani wanakuuliza dini gani,ukisema ya asili unakula panga! Asante Mh.Lema!