Mh. Rais Kikwete Akiwa Ziarani Jamaica: Picha ya kukumbukwa!

Mkuu rufiji sijawahi kuona mtu amevaa helmet kwenye hizi bembea aka skyride, na kujibu swali lako la kwa nini pilot wa ndege za kijeshi anavaa helmet ni kwa sababu cabin/cockpit ya jet fighter haiko pressurised kama ndege za abiria kwa hiyo inatumika kusupply Oxygen kwa rubani vile vile kumbuka ndege za kijeshi uwa zinaruka juu zaidi ya ndege za abiria kwa hiyo ni lazima kila pilot awe na G-suit.


Mkuu simply kwa kuwa hujawahi kuona watu wakivaa helmet kwenye skyride aimaanishi ya kuwa sio lazima kuvaa. Pia ni muhimu kujua ya kuwa hapa atuzungumzii mtu wa kawaida, tunazungumzia rais wa nchi. Kwa hiyo , inapokuja kwenye suala la usalama the secret service has to be proactive and think for the unthinkable. Kuhusu suala la kuvaa helmet kwenye jet , nilimuuliza muungwana swali hio kwani katika hoja yake alijaribu kufananisha skyride na elevator based on their mechanism action. To make a long story short, nilimuuliza hilo swali makusudi ili kuonyesha au flawed his argument was !

Unakuja kuna watu wanafikiri watu tuna personal vendetta na JK kitu ambacho sio cha kweli ! Nakumbuka kuna kipindi Bush alivyotaka kutua kwenye aircraft carrier, USS Lincoln alitaka kutumia F-18 yenye siti mbili kitu ambacho secret service walikipinga kabisa ! Soma hii article hapa chini

Source :http://edition.cnn.com/2003/ALLPOLITICS/05/01/bush.carrier.landing/


Bush was taken in by plane because the Lincoln was too far off the California coast for a helicopter to bring him aboard. His four-seat S-3B Viking has the safest flight record in the Navy's jet fleet. The turbofan jet performs targeting and surveillance functions for naval carrier groups.
The aircraft's pilot, Navy Cmdr. John Lussier of Orlando, Florida, said the president "enjoyed the heck out of" taking the controls and doing a couple of maneuvers.
A second pilot and a Secret Service agent were in the rear seats of the plane when it landed.
"We picked two mature pilots that also are very good landers," Capt. Kevin Albright, commander of the Lincoln's Airwing 14, said Wednesday.
Bush wanted to swoop onto the deck of the Lincoln aboard an F-18 Hornet, but the Secret Service nixed the idea -- they didn't like leaving the president unguarded in a fighter jet that only has space for the president and a pilot.
 
[QU
11_09_hmaerh.jpg


Tatizo sio kupumzika kwa Rais. Tatizo lipo katika kutatua matatizo yaliyopo nyumbani. Mbona kama mheshimiwa yuko kimya sana. Ina maana hayaoni haya matatizo? Kubembea kutakuwa kuna maana kama kazi alizonazo pia zinafanyika kwa amri moja ya nguvu mpya, ari mpya na kasi mpya.
 
Kwa bahati mbaya, waanguke chini, sijui watatuambia president & First Lady wamepata ajali ya ndege?????????? sijui. Mungu pisha mbali.
 
Kuna vitu wiwili.

1.Mtakumbuka Muungwana alipoanguka mwanza alitoa sababu kuwa hawasikilizi wasaidizi wake ambo walimwambia kuwa apumzike.akasema atajirekebisha.inawezekana kabisa mkulu aliambiwa asipande akalazimisha..

2.ile ilikuwa vekesheni,lazima picha zichukuliwe aje amuoneshe ridhwan na Dk . Shein..so ilikuwa ni lazima tu..
 
Kwa bahati mbaya, waanguke chini, sijui watatuambia president & First Lady wamepata ajali ya ndege?????????? sijui. Mungu pisha mbali.

Tatizo upo too negative,kwani Jamaica hawana vyombo vya usalama hata wamuache kiongozi wa ngazi ya rais kupanda katika winchi mbovu? Kuwa totaly against na ''Mafisadi'' kuna uhusiano wowote na brain myopia?
 
Titizo langu siyo rais wa nchi mkupanda bembea bali ni kutumia pesa za uwalipa kodi maskini kwenda kutaalii Jamaica. Mpaka sasa hatujasikia mradi au kazi ya maana aliyofanya huko zaidi ya kubembea na kwenda kwenye nyumba ya makumbusho la Bob Marley. Kama alikuwa nakwenda kwenye safari ya kuhusiana na utalii kwanini hakumwachia waziri wa utalii aende???

Anyway, anatumia madaraka yake tuliyompa sisi wadanganyika. Bora tu asijerudi akaanguka halafu tuambiwe rais amechoka kwa kazi na safari nyingi wakati tunajuwa alikuwa anabembea safarini Jamaica!!!
 
Tatizo upo too negative,kwani Jamaica hawana vyombo vya usalama hata wamuache kiongozi wa ngazi ya rais kupanda katika winchi mbovu? Kuwa totaly against na ''Mafisadi'' kuna uhusiano wowote na brain myopia?

Kamanda wangu kama janga limefika, hata vyombo vya usalama viwe vingi vipi maafa yatatokea tu, hebu fikiria hata tetemeko dogo ghafla likitokea pale, lile gauni la mama unadhani litakaa sawa kweli!?
Mi nadahani jamaa aliongea kama kuchukua tahadhari tu kuwa haikwa muhimu saana yeyeJK kumbembea kwa usalama wake, kwani asingebembea angebadili dini?
 
hehehe
kwenye hii picha naona pm alikuwa bize akiwaza yake na jamaa alikuwa anatimiza wajibu (angalia macho yake utadhani anataka kulia)
wakuu picha ya mzee edo inaleta ujumbe gani hapa ??

Au ndio kubenea style ? Hatulali jamvini mpaka tumuone mtaalam edo?!!!!!
 
Another day another public relations blunder

hii picha itatumika kila wakati ma critics wanataka kumkandia Bosi


my patience is running out na yule SALVA na naona sasa its about time for me to go ROGUE

this is stupidity at its best.


meanwhile in Obama Land...

zn95lijpg_i8n1asjm.gif

It is not that it is time for you to be a ROGUE, you have always been one GT !!!! Bahati yako umemfanyia haya mambo Obama, ingekuwa Bongo umemchora mkulu anapapasa ass namna hiyo vijana wa Othman wangekupeleka ukaongee na Liyumba!
 
Sioni kwa nini JK alaumiwe kwa kubembea na mkewe. Kila mtu anahaki ya kuburudika baada ya uchovu. Kwangu mimi hakuna kosa kwa JK na Mkewe kubembea. Tena kwa kuwa ameonyesha kupenda ka mchezo hako, wapambe wake wangetengeneza vitoroli kama hivyo hapa nyumbani hata hammock tu kama hivyo ni shida. Kwa ufupi hakuna mtu asiyestahili ku refresh.

JK alaumiwe kwa kushindwa kuongoza nchi ama kushindwa majukumu yake kama rais na si kumlaumu kwa nini alibembea. Tukijenga tabia ya kuthamini burudani, tutakuwa na recreation units nyingi kila sehemu na zitaleta utulivu wa akili na afya ya mili, ajira zintaongezeka, uzalishaji sehemu mbali mbali utaongezeka, mzunguko wa currencies ndani utaboreka. Siyo kila siku soka na miziki tu.
 
11_09_hmaerh.jpg


President Jakaya Kikwete and his wife, Salma Kikwete and Minister for Tourism in Jamaica, Mr Edmund Bartlett (right) and Chairman of the Mystic mountains conservation, Mr Horace Clarke, touring the hills facing the tourist attractions in St. Ann region, in Jamaica.
Vema sana
 
11_09_hmaerh.jpg

kikwete na mkewe.jpg


President Jakaya Kikwete and his wife, Salma Kikwete and Minister for Tourism in Jamaica, Mr Edmund Bartlett (right) and Chairman of the Mystic mountains conservation, Mr Horace Clarke, touring the hills facing the tourist attractions in St. Ann region, in Jamaica.
This is where we came from to this level of strictness, yet BAK has turned around complaining of bad leadership.
 
kikwetebembea.jpg

Rais Jakaya na mkewe Salma wakibembea hewani kutalii vivutio nchini Jamaica pamoja na Waziri wa Utalii nchini humo,Edmund Barlett (kulia) na Horace Clarke, mmiliki wa bembea hilo lipitalo meta 50 hewani umbali wa kilometa mbili.
Walienda kubembea wakati huo kulikuwa na mgomo wa Madaktari Muhimbili. Marais wengine huahirisha safari zao wakabaki kutatua matatizo yao huyu aliamua kubembea wagonjwa wakifa Muhimbili.
 
Back
Top Bottom