Chatumkali
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 2,037
- 458
Huu ni upuuzi wa hali ya juu sana,mitihani yote imevuja.Jana nimewaona vijana wana solve paper la biology kwenye daladala na leo limetoka hilohilo!Nimewauliza wanafunzi wanadai wanamitihani yote na mingine nimeiona kwa macho.Sasa huu kama si UTAPELI ni kitu gani!Wazazi tumechangia fedha uendeshaji wa mitihani hii.Hivi mnatutengenezea taifa la sampuli gani?Tunakuomba kama ulivyoifunga central sekondari basi umwajibishe haraka REO wa Dodoma maana huu sasa ni uhunu.FULL STOP!