mwanalumango
JF-Expert Member
- Dec 13, 2010
- 232
- 277
Jadili hoja wewe, unazungumzia mambo ya vyama hapa. Shule gani umesoma wewe? Wewe kwa akili zako inamaana hujamwelewa jamaa anazungumzia nini? Mpinge basi kwa hoja na sisi wataalam wa mambo yasiyo ya pension tuweze kupima uzito wa hoja na tufaidike badala ya kuleta ushabiki wa kipumbavu wa kisiasa hapa.
Kama Ungekuwa Mkali kwa Wabunge wa CCM wanaozima UMEME kwa Wananchi kama ULIVYO kwa JOHN MNYIKA
Kweli ningejua WANANCHI wanataka nchi yao; Lakini SIJAWAHI KUONA HOJA YOYOTE ya kumlaumu OLE SENDEKO na
TIMU YAKE HUMU... WOTE WAMENYWEA... NI KULAUMU anayeonyesha anafanya kazi akiwa BUNGENI kuonyesha
HAFAI... ni kweli ............... HAANGALIWI MTU USONI...