Nimesoma kwenye Tzuk.com kwamba mh.Membe atahushuria mkutano wa diaspora jijini London.Hawa politicians kwenda London kupatronise watu na kujifanya wanajali maendeleo ya nchi ,it is beggar's belief.Naona serikali hii hawa watu wanapenda kusafiri safiri sana,na kupoteza taxpayers money.
Jamani watu wa foreign mtuambie huyu Membe per diem yake ngapi,bora angetumia hizi hela kufanya maendeleo jimboni kwake kuliko kupaa hewani na kula kuku London.
Kila mtu anajua London,kwa sasa ni playing grounds kwa hawa wasanii wa serikali.Kama wewe Mtz uko London,mtu huyu atakusaidia nini?Eti kukuhubiri maendeleo ya Tanzania???????????Wakati billions of shs zinaibiwa kila siku serikalini kwa njia ya ufisadi,na serikali haifanyi lolote!
Jamani watu wa foreign mtuambie huyu Membe per diem yake ngapi,bora angetumia hizi hela kufanya maendeleo jimboni kwake kuliko kupaa hewani na kula kuku London.
Kila mtu anajua London,kwa sasa ni playing grounds kwa hawa wasanii wa serikali.Kama wewe Mtz uko London,mtu huyu atakusaidia nini?Eti kukuhubiri maendeleo ya Tanzania???????????Wakati billions of shs zinaibiwa kila siku serikalini kwa njia ya ufisadi,na serikali haifanyi lolote!