Salamu wana jf,nimekuwa nikifuatilia hali ya mambo na mbio za uraisi wa 2015,nimeamua nianze na huyu mheshimiwa ambaye kwa wasiofahamu wanaaminishwa na vyombo vya habari kuwa ni kiongozi bora kuliko wengine na angefaa kuwa raisi,mimi binafsi naukubali utendaji wake lakini naona walakini mkubwa katika uropokaji na kitendo chake cha kutumia msururu wa wanahabari tena wanaolipwa posho kwa kutumia kodi zetu,inaniuma sana kuona kodi zetu zinageuzwa za kupumbaza na kulaghai fikra zetu,Mungu ibariki tanzania