Nilisema kwamba kama Wana Arumeru watayakataa MATUSI ya Lusinde kwa kukipatia USHINDI CDM basi huo ndiyo utakuwa mwanzo na mwisho wa Lusinde politically.
As if Waarumeru walinisikia wamekinyima ushindi CCM and the writing is already on the wall. Lusinde politically is walking dead man. CCM hawatamuita tena kwenye by election na the last nail to the coffin of Lusinde political life, hawatampitisha tena kwenye kura za maoni 2015, kwani kufanya hivyo ni sawa na kugawa JIMBO kwa CDM and CCM they are not that much stupidy.
Lusinde amejikaanga kwa mafuta yake mwenyewe. MATUSI DOES NOT PAY LUSINDE! Mark my worlds!
As if Waarumeru walinisikia wamekinyima ushindi CCM and the writing is already on the wall. Lusinde politically is walking dead man. CCM hawatamuita tena kwenye by election na the last nail to the coffin of Lusinde political life, hawatampitisha tena kwenye kura za maoni 2015, kwani kufanya hivyo ni sawa na kugawa JIMBO kwa CDM and CCM they are not that much stupidy.
Lusinde amejikaanga kwa mafuta yake mwenyewe. MATUSI DOES NOT PAY LUSINDE! Mark my worlds!