bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,862
Sitegemei iwe iwavyo CDM, LEMA, MBOWE Na SLAA binafsi wanapaswa kumwacha Lusinde atambe. Ushahidi wa matamshi yake watosha na mashtaka ni muhimu. Katamka wazi kuwa Lema aliolewa na bwana wake amjua. Katamka wazi Slaa kama padri aliwatia mimba wanakwaya. Katamka wazi kuwa Nyerere kaliwa ila tu wao hawasemi. Ni matusi machafu kuliko na japo yaonyesha kutapatapa kwa CCM hii ni zaidi. CDM msituangushe huyu akomeshwe.
Kama CCM kinatarajia kuendelea kuheshimiwa nchi hii hawana budi kumshuhulikia huyu Lusinde na wenzake, wakinyamaza tutahitimisha maana ya uheshimiwa ndani ya CCM ni upi..
waliompigia kura mw*hu huyu ndio vich*a kuliko yeye!
Kama Lema naye alitoa matusi hadharani kama alivyotoa Lusinde basi alikosea.
This is beyond the pale! CCM should kick him out. He is a disgrace.
Mimi nataka kujua ni watu gani wa CCM waliokuwepo wakati huyu bwana akiongea? Kwa nini hawakumnyanga'nya microphone? Je ina maana walikuwa wanakubalina na kile alichokuwa anakisema? Kwani huyu bwana ameongea kwa takribani dakika kumi na tano.
But this is unprecedented! I have never heard an MP using that kind of language in public before. Never!
What he spewed is absolutely indefensible. And if the CCM top brass doesn't act fast then that's pretty sad.
How can they let one of their MP's stoop so low like that?
Tatizo lusinde elimu yake drs la nne. Ngonyani kalumanzira. Kuwe na kigezon cha elimu tafadhali, ccm ina wehu kibao, vilaza ndio usiseme na kilaza mkuu baba r katulia kimya wadogo zake wanaharibu.