Mh. Lissu na Mgongano wa Katiba ya JMT na Zanzibar

Katiba imeandikwa kwa ajili ya kulinda maslahi ya kikundi fulani. Imepindishwa pindishwa ali mradi angalau ka-ulaji kakufa mtu kawe guaranteed.

Sasa, ukiwa na Serikali tatu, ina maana serikali ya Tanganyika itakuwa na u-laji mkubwa kuliko ya Muungano kutokana na ukubwa wa uchumi wa Tanganyika. Vile vile hii inamaanisha kuwa Raisi wa Muungano atakuwa analicheo LIKUUUUUUUUBWA lakini Raisi wa Tanganyika atakuwa na mihela mingi zaidi - mustakhabali utaopelekea kuheshimiana kupungua kiasi fulani.

Ukweli ni kwamba, ikiletwa serikali ya Tanganyika, Muungano hautakuwepo tena.
 
Maandamano, maandamano, maandamano. Tumechoka longolongo. Tunataka ZANZIBAR YETU. Na TANGANYIKA IRUDI. That's all. Hizi hadithi za PAUKWA PAKAWA hatuzihitaji tena. Watanganyika, Wazanzibar tumechoka. INATOSHA. VIVA JF.
tanganyika ilitengenezwa na wazungu huko berlin ikawagawa wamasai therusi moja kenya nyingine uganda na ya tatu tanganyika, kwanini tusiipende tanzania iliyotengenezwa na karume na nyerere ambayo inawaweka mamatumbi waliohamia unguja katika harakati za uvuvi na waliobaki bara pamoja?
 
The Stig nimekusoma vizuri,lakini kuna jambo moja kubwa watu wanalisahau kisiasa,"nje ya Muunga hakuna CCM" nje ya muungano kuna TANU na ASP, lakini kumbuka hawa jamaa waliahidi kuulinda muungano na mapinduzi mpaka kufa.Kwa hiyo ili hii nchi iendelee nilazima kwanza hawa jamaa wafe.Yaani hata mnegotiate nao vipi hawatakubali, utaendelea huuhuu usanii.
 
Back
Top Bottom