zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,216
Nakumbuka Vizuri mchakato wa kumtafuta Mgombea Ndani ya CCM mwaka 2005 Ulivyo kuwa Na makundi na vuta niku vute nyingi...
Kwa Wanaofahamu Kwenye Top 3 ya 2005 Jina la JK lilikuwa Halipo..walipita Wengine Na ambae alipata Nafasi ya kwanza ni Mwandosya ndie angegombea Uraisi wa nchi mwaka 2005,Baada ya vuta nikuvute Mh kingunge Alisimama na kuwauliza wajumbe wa CCM, hivi Tumsimamishe JK anaekubaliwa Chama kiendelee kuongoza hata kama uongozi wake utakuwa mbovu Au TUMSIMAMISHE mtu mwingine Tushindwe CCM ife? Ndipo wajumbe wakakubaliana kumpitisha JK ambae hata 3 bora hakuwepo.
Awali ya hapo Bwana BWM akiwatumia TISS kukusanya Maoni Nani Anakubalika kati ya waliochukua Form Ripoti ilikuja Kuwa JK ANAKUBALIKA but Apson ambae alikuwa Mkurugenzi kwenye Report hiyo Ali koment kuwa Jamaa anakubalika lakini Hafai katika uongozi na Hataisaidia IDARA YA TISS kufikia Malengo..
Jk Alipo apishwa na kutinga ikuru alikutana na Barua ya kujiudhuru ya Apson...
"lawama lawamani"
Kwa Wanaofahamu Kwenye Top 3 ya 2005 Jina la JK lilikuwa Halipo..walipita Wengine Na ambae alipata Nafasi ya kwanza ni Mwandosya ndie angegombea Uraisi wa nchi mwaka 2005,Baada ya vuta nikuvute Mh kingunge Alisimama na kuwauliza wajumbe wa CCM, hivi Tumsimamishe JK anaekubaliwa Chama kiendelee kuongoza hata kama uongozi wake utakuwa mbovu Au TUMSIMAMISHE mtu mwingine Tushindwe CCM ife? Ndipo wajumbe wakakubaliana kumpitisha JK ambae hata 3 bora hakuwepo.
Awali ya hapo Bwana BWM akiwatumia TISS kukusanya Maoni Nani Anakubalika kati ya waliochukua Form Ripoti ilikuja Kuwa JK ANAKUBALIKA but Apson ambae alikuwa Mkurugenzi kwenye Report hiyo Ali koment kuwa Jamaa anakubalika lakini Hafai katika uongozi na Hataisaidia IDARA YA TISS kufikia Malengo..
Jk Alipo apishwa na kutinga ikuru alikutana na Barua ya kujiudhuru ya Apson...
"lawama lawamani"