Incredibo aly
Member
- Nov 24, 2010
- 48
- 1
Jimboni must arudi coz ni one of the promises zake kwa wanabumbuli.
Hivi huyu jank actualy anafaa what ministry
Hivi huyu jank actualy anafaa what ministry
Kuna tetesi (zisizo rasmi) kuwa kuna uwezekano wa mh huyu kutorejea tena jimboni mwake 2015, sababu zilizopo ni ndizo zilizopelekea hata kutokuwemo kwenye cabinet iliyoapishwa hivi punde hapa Magogoni.
Lakini cha ajabu ni kwamba janki huyu mwenzetu amekuwa karibu saaana na mkuu wa nchi tangu walipokuwa MAMBO YA NJE na wakahamia wote pale magogoni, hatujui nini kimejificha baina yao ukizingatia baba ndie mtendaji mkuu wa chama TWAWALA.
I think there is a need to vet some of brains joining JF... LOLI met him anauwezo wa kujenga hoja so labda the best position for him ni uprime minister unadhani mizengo angeachwa wapi since wao ndo wanahusika sana na ushaidi of some memorundum like MOA ya 1992
Kiranga, tukubali au tukatae, the guy is smart upstairs, japo enzi hizo akiwa Morogoro kabla Baba hajahamishiwa Kigoma kuwa RC, kijana alikuwa na issue yake fulani sensetive, ila kwa vile aliajiriwa foreign then Ikulu, verting itakuwa ilishamclear kitambo.
Hili la kurudi au kutorudi Bumbuli 2015 ni majungu tuu kwa sababu determinant factor ni performance yake kama mbunge, nothing more, nothing less.
Hamna haja ..unamuongeza tu kwene ignore list.I think there is a need to vet some of brains joining JF... LOL
jamaa smart wakati speeches mbovu za Kikwete ndo mazao yake? akili hiko wapi au kama siyo kwenye Konyagi?I met him anauwezo wa kujenga hoja so labda the best position for him ni uprime minister unadhani mizengo angeachwa wapi since wao ndo wanahusika sana na ushaidi of some memorundum like MOA ya 1992
One thing i liked about january makamba ni his Ideas na "ndoto" alizokuwa kuwa nazo kam angepata ubunge . Nilichofurahi zaidi ni yeye kukosa uwaziri sababu kwa kupata uwaziri zile ideas nzuri alizokuwa nazo ingekuwa kazi kuzifanyi kazi.
Nilichofurahi pia kwa kupewa uwaziri watanzania wote tungeona kabewa kupita kiasi.
Now its time for January Makamba ku relise ile bumbuli aliyokuwa ana "ota" kwa kufanikisha hata 30% ya bumbuli yenye magari ya kisasa ya kusfirisha matunda. bada ya hayo Nitapenda kuona anapanda kamajukumu zaidi na zaidi
i am sorry to say that this is crap and probably wewe ni mmoja wa watu waliotumwa kuharibu kabisa JF
Kiranga, tukubali au tukatae, the guy is smart upstairs, japo enzi hizo akiwa Morogoro kabla Baba hajahamishiwa Kigoma kuwa RC, kijana alikuwa na issue yake fulani sensetive, ila kwa vile aliajiriwa foreign then Ikulu, verting itakuwa ilishamclear kitambo.
Hili la kurudi au kutorudi Bumbuli 2015 ni majungu tuu kwa sababu determinant factor ni performance yake kama mbunge, nothing more, nothing less.
Angalia Bumbuli leo na baada ya miaka mitano. It will be the same, nothing significant will change, tusidanganyane kuwa mbunge aliepita na wa sasa wanatofauti sana, the same will be the case kwenye majimbi mengi. kama serikali ya sasa iko as it is na sera za jumla za maendeleo ya nchi ziko as they are, sitegemei jipya sana.
i am sorry to say that this is crap and probably wewe ni mmoja wa watu waliotumwa kuharibu kabisa JF
Nadhani humtendei haki mtoa mada.Crap kivipi wakati ameshasema ni tetesi (implying zinaweza kuwa kweli au si kweli)?Halafu ni crap kivipi ilhali mwenzetu hajatupa mawazo/habari mbadala inayothibitisha kuwa tetesi za mtoa mada ni madudu (crap)?Na ni vipi tetesi hizo zinaleta probability ya mtoa hoja kutumwa kuharibu JF?
Naamini mtu yeyote mwenye upeo wa kuelewa siasa za Tanzania atakuwa ameshtushwa na January kutowemo katika Kabineti ya JK.Sio tu kwa vile wawili hao walikuwa chanda na pete bali pia baba mzazi wa Januari (Luteni Yusuph Makamba) alishanukuliwa akijigamba kuwa mwanaye angeukwaa uwaziri.
Alishanukuliwa wapi? au umesoma Thread za kizushi Jamii Forum na kuja na conclusion yako.