MVUMBUZI
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 5,182
- 2,304
- Thread starter
- #61
hapo kwenye maelfu tu ndo naona kuna shida! maana hawakuzidi 400 sasa maelfu mzeiya niaje niaje chaliiangu!!!
Hukuwepo acha uongo . walikuwepo zaidi ya watu elfu 4. Lile kanisa likijaa full ni watu mia 8 na kumbuka lilikuwa full in and out what are you trying to tell people here