Morgan james
Member
- May 21, 2012
- 28
- 1
Jamani wiki ya pili sasa tangu nikutwe na mkumbo huu mh huwezi amini mtaani kwetu kuna sugar mamy linanitaka je kuna shida nikitoka nalo naombeni ma advice nini.
Jamani wiki ya pili sasa tangu nikutwe na mkumbo huu mh huwezi amini mtaani kwetu kuna sugar mamy linanitaka je kuna shida nikitoka nalo naombeni ma advice nini.[/QUOT
Nimeona thread leo jinsi gani tuiboreshe MMU, mi napendekeza thread kama hizi zisiwe posted mana zinachefua
Halafu thread kama hii tukichakachua tutaonekana wabaya? BADILI TABIA
Hata mi mwalimu wako nakuruhusu uichakakachue KaizerHalafu thread kama hii tukichakachua tutaonekana wabaya? BADILI TABIA
Halafu thread kama hii tukichakachua tutaonekana wabaya? BADILI TABIA
Hata mi mwalimu wako nakuruhusu uichakakachue Kaizer
snowhite,..za mida mida beste,