libeva
JF-Expert Member
- Mar 25, 2015
- 4,367
- 3,383
Udsm nacho cha kata??
Kile cha tarafa.
Udsm nacho cha kata??
Ndo ubaya wa vyuo vya kata
narudia tena kama hujui lolote kuhusu pesa za kujikimu zinazotolewa kwa wanachuo usikurupuke na kucoment maana utajiaibisha tu
ww unaedai eti UDOM cha kata umesoma lakini hamnazo kabisa thinking capacity yako ni ndogo sana la sivyo ulishawahi pelekwa milembe kwa kurukwa na akili.
View attachment 253523
licha ya jitihada zilizofanywa na naibu waziri wa afya na mkuu wa mkoa wa dodoma kuwatuliza wanafunzi wa kitivo cha elimu wasigome na kwamba serikali yao sikivu itafanya kila jitihada kuhakikisha wanapata fedha hizo kwa haraka, jitihada hizo hazijazaa matunda kwani wanafunzi walisisitiza wataendelea na mgomo wao mpaka pale watakapolipwa fedha zao sababu hawawezi kusoma wakiwa na njaa.
IQ approaching to zero
hao waliogoma tayari walishapewa mara ya kwanza sasa hela ya pili imechelewa kuletwa kwa wakati, sasa ukijumlisha na ripoti ya cag ndio shida kabisaMkuu sheria ya mkopo ipoje kwani ukiomba mkopo lazima upewe?
Ndo ubaya wa vyuo vya kata