Silver Rock
Member
- Mar 4, 2012
- 20
- 3
Sidhan kama hilo ni sahii kila mtu anaomba maslahi yake. Yawe juu sidhan kama kuna shinikizo la wapinzani
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Acha UONGO wewe, uzushi haukusaidii hapa jukwaani,
Elewe kuwa mtu yeyote kuwepo jf amepitia mengi, haina tofauti na kumuona nyani mjini ujue kuwa kakwepa mishale mingi!
Gazeti hilo mimi ninalo hapa tangu saa kumi na mbili asubuhi na nimesoma mpaka matangazo yoooooote hakuna habari hiyo!
Danganya wajinga wenzio wa ccm sio wanajf waliofuzu manuvazi yote!
Mods Ondoeni hii habari ni yakizushi tu!
Kwani hauna ukweli ndani yake mpaka uwe uchochezi?
Huo ni ukweli mtupu Chadema wako nyuma ya mgomo huo. Wanataka nchi isitawalike na wananchi waichukie serikali ya CCM na Chadema ipande chati. Lakini sasa watanzania wamejua kwamba chadema ni hatari kuliko sumu.
Walio wengi CCM ni wagonjwa wa akili na wako dhaifu hata kwenye hoja ! Nashukuru Mungu sijawahi kuwa na kadi ya CCM wala UAMSHO
Walio wengi CCM ni wagonjwa wa akili na wako dhaifu hata kwenye hoja ! Nashukuru Mungu sijawahi kuwa na kadi ya CCM wala UAMSHO
Vema kabisa!
Sijui watu wengine kusoma wanafikiri ni kuweza kutamka a e i o u Tu!!
Hakuna mahali gazeti limechukua jukumu la kusema kama gazeti kuwa linaona na linachukulia kuwa kuna chama pinzani kinachochea Mgomo. Kuona na kufikiri hivyo ni Utovu wa nidhamu na kutokujua kusoma kwa mantiki na uewlewa.
Kamwe huwezi kusingizia Gazeti kitu kama hicho!!!
Inawezekana kuna makundi ya watu na taasisi mabalimbali zinaona hivyo na kuripotiwa na Gazeti hilo ... lakini Huo si mtizamo wa gazeti na wala huwezi kulibebesha mzigo huo wala kulinyooshea kidole.
huyu molemo siyo gamba mkuu!
huyu molemo siyo gamba mkuu!
Duh leo Molemo kawa CCM! Hii inaweza kuwa friendly fire nzito tu! Mkuu Molemo unaambiwa unaleta uzushi jukwaani na bahati mbaya mimi sijalisoma hilo gazeti. Tufafanulie mkuu.Acha UONGO wewe, uzushi haukusaidii hapa jukwaani,
Elewe kuwa mtu yeyote kuwepo jf amepitia mengi, haina tofauti na kumuona nyani mjini ujue kuwa kakwepa mishale mingi!
Gazeti hilo mimi ninalo hapa tangu saa kumi na mbili asubuhi na nimesoma mpaka matangazo yoooooote hakuna habari hiyo!
Danganya wajinga wenzio wa ccm sio wanajf waliofuzu manuvazi yote!
Mods Ondoeni hii habari ni yakizushi tu!
Walio wengi CCM ni wagonjwa wa akili na wako dhaifu hata kwenye hoja ! Nashukuru Mungu sijawahi kuwa na kadi ya CCM wala UAMSHO
Mkuu hata ile ya lazima ili ujiunge chuo ilikupita?
Mmekuja na chorus nyingine!
Bado ya walimu mtasema tuuuuuuu!