Soulbrother
JF-Expert Member
- Apr 14, 2009
- 405
- 14
Fununu za mgomo c2c tv.
Wafanyikazi C2C TV production wanajiandaa kufanya mgomo baada ya bodi kuamua kutowalipa mishahara mwezi huu kwa kuandika barua inayosema kuwa tv haiilipi kampuni.
Pamoja na hayo, wafanyikazi hao wanalalamika hawajakuwa wakilipiwa nssf.
Kuna m2 wenye hii facts zaidi kuhusu info?
Wafanyikazi C2C TV production wanajiandaa kufanya mgomo baada ya bodi kuamua kutowalipa mishahara mwezi huu kwa kuandika barua inayosema kuwa tv haiilipi kampuni.
Pamoja na hayo, wafanyikazi hao wanalalamika hawajakuwa wakilipiwa nssf.
Kuna m2 wenye hii facts zaidi kuhusu info?