Leta news frm the trusted source, hizo taarifa umezfanyia uchunguzi? Lumumba wakisikia hili presha juuu!
Tunajua kanuni za uchaguzi, hawezi kujitoa Leo uchaguzi ukifanyika kesho. Mbona mnavumisha yasiyowezekana ni kwa faida ya nani?Hizi ni habari ambazo nimezipokea kwenye text
Mgombea wa ccm Kiboroloni ametangaza kujitoa kwenye kinyang'anyiro leo
Hizi ni habari ambazo nimezipokea kwenye text
Mgombea wa ccm Kiboroloni ametangaza kujitoa kwenye kinyang'anyiro leo
Aliyeko Moshi atujuze
haijulikani, ila nadhani ameona hali siyo nzuri