HUGO CHAVES JF-Expert Member Mar 25, 2011 2,045 547 Oct 9, 2012 #21 mgambo wafanye kazi zao mchana na wasitumiwe kisiasa wananchi watajenga chuki dhidi yao ,wanasiasa fanyeni kazi zenu kistaarabu na kiungwana
mgambo wafanye kazi zao mchana na wasitumiwe kisiasa wananchi watajenga chuki dhidi yao ,wanasiasa fanyeni kazi zenu kistaarabu na kiungwana
S swrc JF-Expert Member Jun 17, 2012 442 38 Oct 9, 2012 #22 wataendelea kuua hadi lini? Hongera kamanda kwa kuanza kazi mapema. Muumba atakuponya.
usininukuu JF-Expert Member Aug 8, 2011 380 44 Oct 9, 2012 #23 Hatutarudishwa nyuma na mpuuzi yeyote sisi tutaendelea kusonga mbele na kuwatetea wanyonge. Hongereni makamanda wa Arusha
Hatutarudishwa nyuma na mpuuzi yeyote sisi tutaendelea kusonga mbele na kuwatetea wanyonge. Hongereni makamanda wa Arusha