Mgombea Udiwani Kiboriloni ashukiwa kutokuwa raia wa Tanzania

Duh,haya masisiem yamelaanika basi hata kikwete inawezekana sio raia ni watumwa wa bagamoyo kutoka rwanda...
 
Leo nimeoana taarifa mtandaoni, kwamba Mgombea udiwani Kata ya Kiboroloni-moshi kwa tiketi ya CHADEMA Bw. Frank Kagoma kuwa si raia wa Tz. Swali: ni mpaka mtu agombee udiwani au ubunge au uraisi ndo ionekane si raia wa Tz? Mbona hatukusikia tangu chaguzi zote za udiwani na ubunge kwamba wahamiaji wakisema Mgombea fulani wa ccm si raia wa Tz.
Implication ya hii kitu:
1 Watu watakichukia ccm hata kama Mgombea angekuwa anafaa.
2 Itampa "credit" yule mgombea anayetuhumiwa kwamba si raia wa Tz kama ilivotokea Kwa Ezekiel Wenje na Lawrence Masha huko Mwanza. Masha alitumia mamlaka yake ya Uwaziri wa Mambo ya Ndani ili kuonyesha Wenje si raia wa Tz ili yeye apite bila kupingwa hatimaye yakamtokea puani.
 
Kwani ile issue iliyoletwa humu ilisema Mama Salma sio raia wa Tanzania iliishia wapi maana hadi vielelezo viliwekwa
 
Kagoma ni kweli si raia,
Na alishaambiwa toka siku nyingi afuate utaratibu.
Cha ajabu yeye akakimbilia kuanzisha sungu sungu kiboriloni.
 
Kama si raia na bado ni kiongozi basi vyombo vinavyohusika ni dhaifu.Hizi ni hila za maccm kujipatia ushindi wa mezani.
 
mbona kuna wengine ni wasomali lakini wamo kwenye uongozi wa nchi - kama tukianza kutafutana kila mmoja wetu alipotokea tutabakia wanane tu ndani ya nchi hii.

siasa za fitna zitalimaliza taifa.
 
Back
Top Bottom