LUSAJO L.M.
JF-Expert Member
- Aug 21, 2007
- 270
- 126
Nimepata taarifa kwamba msafara wa Mgombea wa Ubunge kupitia CHADEMA jimbo la Kibakwe wilayani Mpwapwa Kamanda Benson Kijaila Singo umevamiwa na Green Guards wakiongozwa na Kaka wa Mbunge aliyemaliza muda wake na kuua Kijana mmoja aliyetambulika kwa jina la Lucas Kiwanga na kujeruhi wanachama wengine wa CHADEMA. Hili limetokea leo mida ya saa moja usiku.
Tutajulishana zaidi taarifa zaidi zikitufikia.
Tutajulishana zaidi taarifa zaidi zikitufikia.