Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,658
- 20,889
Nawasalimu kwa jina la jamuhuri ya Muungano.
Kama kichwa kinavyosema. Naomba kuelimishwa kuhusu faida ya mgombea binafsi, hasara zake na status ya jambo hilo hapa Tanzania.
Mchungaji Mtikila alilipigania sana hili suala, napenda kujua vita yake iliishia wapi hadi mauti yanamkuta.
Pia napenda kujua athari za jambo hilo kwa vyama vya siasa.
Cc MALCOM LUMUMBA
Kama kichwa kinavyosema. Naomba kuelimishwa kuhusu faida ya mgombea binafsi, hasara zake na status ya jambo hilo hapa Tanzania.
Mchungaji Mtikila alilipigania sana hili suala, napenda kujua vita yake iliishia wapi hadi mauti yanamkuta.
Pia napenda kujua athari za jambo hilo kwa vyama vya siasa.
Cc MALCOM LUMUMBA