Mgogoro wa Eng. Muhando na mabosi wake: Siri yafichuka, anaeimaliza TANESCO NI JK

OLEWAO

Member
Jan 27, 2012
89
78
Wana JF,

Taarifa za kiintelijensia toka kwa wanaTISS wachache waliobakia na uzalendo kwa taifa lao zinsema, Rais wetu JK ndiye aliyetega mirija kila kona kuhakikisha anachota kila kinachoingia Tanesco.

IKO HIVI:

Mtakumbuka vizuri kuwa kampuni ya Richmond ilitengenezwa mikononi mwake huku akimtumia Lowassa kufikisha ujumbe Tanesco. Mambo yalipoharibika alimtoa kafara rafiki yake. Japo Lowassa amejigamba mara nyingi kuwa hawakukutana barabarani, ukweli ni kuwa bado hamjui vizuri swahiba wake.
Mgogoro uliopo Tanesco baina ya Muhando na wakuu wake ni wa kutengenezwa ili kuwaokoa katibu mkuu bwana Maswi na waziri wake Prof. Muhongo. Pamoja na kwamba Muhando ametengeneza tenda aliyompa mkewe hiyo si ishu kubwa kwa kuwa vifaa kweli vitakuwa supplied ila deal alilopiga katibu mkuu la kuingia mkataba Puma Company Ltd (zamani BP) ambayo haina sifa na pia kufanya kinyume na sheria za PPRA simply because JK anahisa hukoa ndiko kulikokuza ishu ya mhando ili atolewe kafara uma usiangalie deal hilo lenye thamani ya bilioni 26.
Ukweli ni kwamba wabunge wakiamua kukomaa JK bye bye. Lakini taarifa zinasema JK amemwagiza Pinda kuhakikisha anawaziba midomo wabunge wote wazalendo. Taarifa zinasema Anne Kilango ameingia laini na katika moja ya vikao vyao vilivyoongozwa na Pinda alisimama kidete kutetea kuwa joja hii ikijadiliwa bungeni serikali na chama chao cha CCM vitaanguka!
Aidha taarifa zinazidi kusambaa kuwa JK ametoa maagizo kwa viongozi wa wizara ya nishati na madini tangu wakati wa Ngeleja kuwa hakuna kutumia gesi kwa ajili ya kuzalisha umeme badala yake majenereta yatumie mafuta mazito ambayo asilimia kubwa yatatoka GAPCO ambako yeye anahisa tangu akiwa waziri.Swali la msingi; Kama gesi imetoka all the way from mtwara to ubungo, mafuta ya nini?
Aidha Tanesco hulazimishwa kutengeneza mgao feki ili bwana mkubwa achote chake. Isitoshe maajabu mengine ni kwamba Tanesco wameingia mkataba na kampuni ya Ridhiwani ya kuleta nguzo za umeme toka Afrika Kusini na si Iringa tena. Yapo mambo mengine mengi tangu Richmond, DOWANS, Symbion na haya ma-IPTL, Agreko n.k ambayo JK anayajua vema lakini ameendelea na roho ngumu ya kuwanyonya watanganyika.

Ombi langu kwa Mungu, Avuruge nchi hii ili tuanze upya.
Wana bodi mnasemaje?
 
Tushajua ukweli na taratibu hatua zimeanza. Mkuu uko oryx au camel? poleni watu wameshatia mchanga kwenye tumbua lako.
 
Tatizo la viongozi huwa siyo wakweli na hivyo kutuchanganya kujua ni nani yuko sahihi na nani hayuko sahihi.Vurugu tupu.
 
hata kama akiwa na hisa kumbuka serikali ina hisa 50% katika kampuni ya energy na pia bei yake ni ndogo sana kulinganisha na makampuni mengine hivyo nasita kukuunga mkono ningekuunga mkono kama ungeniambia kama kampuni zimenyimwa tenda kwa sababu zilitoa bei ndogo na si vinginevyo
 
Wana JF,

Taarifa za kiintelijensia toka kwa wanaTISS wachache waliobakia na uzalendo kwa taifa lao zinsema, Rais wetu JK ndiye aliyetega mirija kila kona kuhakikisha anachota kila kinachoingia Tanesco.

IKO HIVI:

Mtakumbuka vizuri kuwa kampuni ya Richmond ilitengenezwa mikononi mwake huku akimtumia Lowassa kufikisha ujumbe Tanesco. Mambo yalipoharibika alimtoa kafara rafiki yake. Japo Lowassa amejigamba mara nyingi kuwa hawakukutana barabarani, ukweli ni kuwa bado hamjui vizuri swahiba wake.
Mgogoro uliopo Tanesco baina ya Muhando na wakuu wake ni wa kutengenezwa ili kuwaokoa katibu mkuu bwana Maswi na waziri wake Prof. Muhongo. Pamoja na kwamba Muhando ametengeneza tenda aliyompa mkewe hiyo si ishu kubwa kwa kuwa vifaa kweli vitakuwa supplied ila deal alilopiga katibu mkuu la kuingia mkataba Puma Company Ltd (zamani BP) ambayo haina sifa na pia kufanya kinyume na sheria za PPRA simply because JK anahisa hukoa ndiko kulikokuza ishu ya mhando ili atolewe kafara uma usiangalie deal hilo lenye thamani ya bilioni 26.
Ukweli ni kwamba wabunge wakiamua kukomaa JK bye bye. Lakini taarifa zinasema JK amemwagiza Pinda kuhakikisha anawaziba midomo wabunge wote wazalendo. Taarifa zinasema Anne Kilango ameingia laini na katika moja ya vikao vyao vilivyoongozwa na Pinda alisimama kidete kutetea kuwa joja hii ikijadiliwa bungeni serikali na chama chao cha CCM vitaanguka!
Aidha taarifa zinazidi kusambaa kuwa JK ametoa maagizo kwa viongozi wa wizara ya nishati na madini tangu wakati wa Ngeleja kuwa hakuna kutumia gesi kwa ajili ya kuzalisha umeme badala yake majenereta yatumie mafuta mazito ambayo asilimia kubwa yatatoka GAPCO ambako yeye anahisa tangu akiwa waziri.Swali la msingi; Kama gesi imetoka all the way from mtwara to ubungo, mafuta ya nini?
Aidha Tanesco hulazimishwa kutengeneza mgao feki ili bwana mkubwa achote chake. Isitoshe maajabu mengine ni kwamba Tanesco wameingia mkataba na kampuni ya Ridhiwani ya kuleta nguzo za umeme toka Afrika Kusini na si Iringa tena. Yapo mambo mengine mengi tangu Richmond, DOWANS, Symbion na haya ma-IPTL, Agreko n.k ambayo JK anayajua vema lakini ameendelea na roho ngumu ya kuwanyonya watanganyika.

Ombi langu kwa Mungu, Avuruge nchi hii ili tuanze upya.
Wana bodi mnasemaje?

Hadi hapa mimi sina cha kusema, ila nimependa sana ombi lako......na litatimia
 
Hivi JK anaweza kuwa ni mtu wa aina hii?
Hela hizo za wavuja jasho za nini jamani wakati maisha yenyewe ndio haya?
Lakini ili mradi tushayajua hatutakaakimya!
MNYIKA twende kazi!
 
Kijana Mnyika kamchana live huyo Mhando kwa wizi alioufanya.

Umeongea kinyume. Mhando na genge lake la mafisadi ndio walitaka waendelee kuifilisi TANESCO na hata NCCR mageuzi nao wamesema hivyo. Jipange vizuri mwende tena Dodoma mtafute kugawa manoti tena sasa hamna wateja wa nyimbo zenu lakini sasa hata mtapigwa ngumi maana Mhando, mkewe, mpenziwe, Mh. Mkono na wahindi walitaka kuuwa shirika kwa ajili ya matumbo yao. Hatudanganywi tena!
 
Acha uchochezi. Hilo ombi lako sio la kizalendo nchi ikivurugwa hatuwezi kuanza upya. Fikiria vurugu na kuanza upya kama vina uhusiano
 
source please!
Wana JF,

Taarifa za kiintelijensia toka kwa wanaTISS wachache waliobakia na uzalendo kwa taifa lao zinsema, Rais wetu JK ndiye aliyetega mirija kila kona kuhakikisha anachota kila kinachoingia Tanesco.

IKO HIVI:

Mtakumbuka vizuri kuwa kampuni ya Richmond ilitengenezwa mikononi mwake huku akimtumia Lowassa kufikisha ujumbe Tanesco. Mambo yalipoharibika alimtoa kafara rafiki yake. Japo Lowassa amejigamba mara nyingi kuwa hawakukutana barabarani, ukweli ni kuwa bado hamjui vizuri swahiba wake.
Mgogoro uliopo Tanesco baina ya Muhando na wakuu wake ni wa kutengenezwa ili kuwaokoa katibu mkuu bwana Maswi na waziri wake Prof. Muhongo. Pamoja na kwamba Muhando ametengeneza tenda aliyompa mkewe hiyo si ishu kubwa kwa kuwa vifaa kweli vitakuwa supplied ila deal alilopiga katibu mkuu la kuingia mkataba Puma Company Ltd (zamani BP) ambayo haina sifa na pia kufanya kinyume na sheria za PPRA simply because JK anahisa hukoa ndiko kulikokuza ishu ya mhando ili atolewe kafara uma usiangalie deal hilo lenye thamani ya bilioni 26.
Ukweli ni kwamba wabunge wakiamua kukomaa JK bye bye. Lakini taarifa zinasema JK amemwagiza Pinda kuhakikisha anawaziba midomo wabunge wote wazalendo. Taarifa zinasema Anne Kilango ameingia laini na katika moja ya vikao vyao vilivyoongozwa na Pinda alisimama kidete kutetea kuwa joja hii ikijadiliwa bungeni serikali na chama chao cha CCM vitaanguka!
Aidha taarifa zinazidi kusambaa kuwa JK ametoa maagizo kwa viongozi wa wizara ya nishati na madini tangu wakati wa Ngeleja kuwa hakuna kutumia gesi kwa ajili ya kuzalisha umeme badala yake majenereta yatumie mafuta mazito ambayo asilimia kubwa yatatoka GAPCO ambako yeye anahisa tangu akiwa waziri.Swali la msingi; Kama gesi imetoka all the way from mtwara to ubungo, mafuta ya nini?
Aidha Tanesco hulazimishwa kutengeneza mgao feki ili bwana mkubwa achote chake. Isitoshe maajabu mengine ni kwamba Tanesco wameingia mkataba na kampuni ya Ridhiwani ya kuleta nguzo za umeme toka Afrika Kusini na si Iringa tena. Yapo mambo mengine mengi tangu Richmond, DOWANS, Symbion na haya ma-IPTL, Agreko n.k ambayo JK anayajua vema lakini ameendelea na roho ngumu ya kuwanyonya watanganyika.

Ombi langu kwa Mungu, Avuruge nchi hii ili tuanze upya.
Wana bodi mnasemaje?
 
porojo tupu.
umetumwa wewe, unataka kumsafisha muhando kwa kumpa tenda mkwe???
Halafu, mbona gesi inatumika kuzalisha umeme zaidi ya meegawati 200 hata katibu mkuu juzi kaeleza hilo??
Unatumika vibaya, ulichoongea hakina mashiko.
Ulitaka tanesko inunue mafuta 1900 wakati puma wanawauzia 1400??
Halafu puma serkali in hisa 50%, kwanini isitumie kampuni yake itumie ya mafisadi??

Hovyoooooooooooo
 
ni kweli kuwa ukimya wa jk ktk swala zitto kama hili unatia shaka sana na majibu yake ya rejareja kama yale aliyoyato africa ya kusini alipoojiwa na mwndishi wa tanzania yanaonyesha wazi kuwa hali hii ya tanesco ni ya kutengenezwa kwa maana uoni urgency na longtime plan ya kulitatua. lakini pia swala la muhando kumpa tenda mkewe siyo swala dogo ndugu ni swala very serious na linatakiwa lichukuliwe very seriously.
 
KISHOKA_ZUMBU; Unahitaji maombi ww!

Wewe Zumbu, hebu nieleze mlolongo wa kashfa tangu Richmond hata PUMA JK amekaa kimya ina maana hajui kinachoendelea. Kama wewe ni mkristo sema ili nikupe maandiko yanavyosema juu ya wanaoumiza watu wa Mungu ndipo ungejua umuhimu wa kumuomba Mungu ili aingilie kati watu wake tuweze kupona.
 
Back
Top Bottom