Mgogoro na Malawi: CIA NA Chevron wako ndani ya Malawi

chumi za mataifa makubwa hazitaweza kuwa rescued bila ya kuja Africa.Huo ndo ukweli.Silaha watauza na rasilimali watabeba.Kuna movement ya ku invest Africa ili kukomboa chumi zao.Sasa tatizo lipo kwetu...Tena vile tuna rais kama huyu,hakuna lolote litakalowanaufaisha wananchi wa kawaida.
 
chumi za mataifa makubwa hazitaweza kuwa rescued bila ya kuja Africa.Guo ndo ukweli.Silaha watauza na rasilimali watabeba.Kuna movement ya ku invest Africa ili kukomboa chumi zao.Sasa tatizo lipo kwetu...Tena vile tuna rais kama huyu,hakuna lolote litakalowanaufaisha wananchi wa kawaida.
Mkuu wangu tatizo ni kwamba watu wanaoishi Afrika hawalitambui hili. Hawajui kabisa yanayoendelea huku na siasa za Ubeberu isipokuwa kwa kupitia CNN inayotangaza sana Demokrasia kutufunga ktk ujinga wa kuamini na kuabudu kisichopo. Kwa hiyo ipo kazi kubwa sana hata kuwashtua..Waswahili walisema Usimwamshe aliyelala, akimka utalala wewe, na kama huamini subiri utasikia majibu yao.
 
Mkuu wangu tatizo ni kwamba watu wanaoishi Afrika hawalitambui hili. Hawajui kabisa yanayoendelea huku na siasa za Ubeberu isipokuwa kwa kupitia CNN inayotangaza sana Demokrasia kutufunga ktk ujinga wa kuamini na kuabudu kisichopo. Kwa hiyo ipo kazi kubwa sana hata kuwashtua..Waswahili walisema Usimwamshe aliyelala, akimka utalala wewe, na kama huamini subiri utasikia majibu yao.
Unamaanisha Neo Colonialism on the way?
 
Mkuu wangu tatizo ni kwamba watu wanaoishi Afrika hawalitambui hili. Hawajui kabisa yanayoendelea huku na siasa za Ubeberu isipokuwa kwa kupitia CNN inayotangaza sana Demokrasia kutufunga ktk ujinga wa kuamini na kuabudu kisichopo. Kwa hiyo ipo kazi kubwa sana hata kuwashtua..Waswahili walisema Usimwamshe aliyelala, akimka utalala wewe, na kama huamini subiri utasikia majibu yao.
Hata walioko uingereza hawaoni?kwanza ebu cheki hii jezi mpya ya Sunderland,hiyo ni kampeni ati!
Sunderland-Invest-in-Africa-Strip-2012.jpg

Sunderland AFC have today ( June 25, 2012) unveiled the club's first ever Adidas strip. The new SAFC Adidas kit 2012/13 is a predominantly blue strip that has the "Invest in Africa" campaign ( from Tullows Oil) as its shirt sponsor.

Google Image Result for http://www.footballkitnews.com/wp-content/uploads/2012/06/Sunderland-Invest-in-Africa-Strip-2012.jpg
 
Ni bora kuamini hivyo na kuchukua hatua stahiki za kumaliza changamoto zetu bila kutegemea watu ambao wako na conflict of interest. Kimsingi ni kuwa hakuna vita barani Africa ambavyo hupigwa kati ya nchi mbili za bara hili. Vita tunavyoviona huwa ni arms race ya nchi mbili au zaidi za dunia ya kwanza. Huwa nashangaa sana ninapoona baadhi ya wanajamvi wakishabikia vita eti kwa madai kuwa Malawi ni ka nchi kadogo. Binafsi naona kama kuamini hivyo ni uvivu wakufikiri kwani hakuna asiyejuwa historia ya Malawi na Israel pamoja na Uingeleza. Ni ukweli usiopingika kuwa Mzungu hawezi kumuacha huyu mama katika shida kama hii kwani chanzo cha mgogoro ni Muingeleza kwa mkataba wake wakati wa ukoloni na sasa kupitia kampuni yake ya utafutaji mafuta na gesi.

Kimsingi, undugu kati ya Tanzania na Malawi ni muhimu kuliko Ziwa Nyasa. Muingiliano wakibiashara na kuolena kati ya watu wa Mbeya yote na wenzao wa Mkoa wa Kaskazini mwa Malawi ni mkubwa mno. Udugu kati ya watu wa eneo la Nyasa kwa upande wa Tanzania na wale wa upande wa pili ni mkubwa mno kiasi cha kuzungumza lugha moja na kuwa na majina yanayolingana na ukifuatilia historia utakuta miaka ya 1950s tu hapa hawakujulikana nani ni Mtanzania na nani ni Mmalawi. Ni bora zaidi tukali-discuss hili suala kwa namna ya kuwataka viongozi wetu walimalize hili suala kwa njia ya amani na kila upande uwe tayari kukubariana na matokeo ya mazungumzo iwe ni mahakamani au kupitia kwa msuluhishi. Tanzania na Malawi zote ni zaidi ya Ziwa Nyasa.

chumi za mataifa makubwa hazitaweza kuwa rescued bila ya kuja Africa.Huo ndo ukweli.Silaha watauza na rasilimali watabeba.Kuna movement ya ku invest Africa ili kukomboa chumi zao.Sasa tatizo lipo kwetu...Tena vile tuna rais kama huyu,hakuna lolote litakalowanaufaisha wananchi wa kawaida.
 
Sasa naanza kuamini ziwa letu linakwenda lote Malawi.

Huyu rais wetu bonge la Mtambo, kazi ni kuzurura duniani kuombaomba hela, kushangaa mananasi, kubembea, kupanda farasi na kupiga picha tu.
Akirudi nchini kazi kubwa ni kukata utepe, kuhudhuria misiba, kuongoza vikao vya CCM na kualika wageni ikulu wa kunywa naye juice na kahawa.
 
Lakini si Tanzania Kikwete amewakaribisha Symbion? Hii pia ni kampuni ya CIA operatives. Sasa mbona hawamsaidii dhaifu?
 
Source please!! ila mama banda hawezi kuachia ZIWA lake kwa dhaifu.

Hata mimi sidhani kama mama banda angeachia ZIWA Lake kirahisi namna hiyo kwa mtu dhaifu. Haya mambo yana taratibu zake.ZIWA sio kitu cha kuchezeachezea tu bana
 
Hivi inaingia akili kwamba OBAMA anaweza kuruhusu CIA kuihujumu TANZANIA - kumbuka CIA sio a Govt within a Govt lazima ipate kibari kutoka kwa OBAMA katika operations zao zote bila kujali kama ni covert au overt!!

Watu wanasahau kwamba wakati OBAMA alipo ingia IKULU kwa mara ya kwanza alitaka kuwa na mazungumzo na Marais kutoka Africa - ni RAIS wawili tu walio karibishwa IKULU ya Merikani kutoka Africa, mmoja wao alikuwa ni Mh.Jakaya M. Kikwete na mwingine alitoka Africa magharibi (Ghana kama sikosei) sasa ukaribu wa administration ya OBAMA na Jakaya unawezaje kugeuzwa uhasama; mambo mengine tunapaswa kuyatafakali kwa kina kabla hatuja anza kuhukumu watu!!

Kitu kingine, hivi kweli mtu unaweza kulinganisha utajiri wa natural resources za Tanzania na MALAWI? ni kitu gani kikubwa sana kinacho weza kuwavutia Chevron kwenda Malawi kwa madhumuni ya kuchonganisha Tanzania na Malawi wakati hawajuhi prospects za mafuta ndani ya ziwa Nyasa ni za ukubwa gani i.e kuwa commercially exploited!

Kwa maoni yangu kampuni ya Chevron has a lot to gain from TANZANIAN vast natural resources than Malawi na hilo wanalijuwa SANA, kama nakumbuka vizuri niliwahi kusoma somewhere kwamba Chevron ilipewa vitaru vya kutafuta mafuta ndani ya TANZANIA. Mimi nafikili wakati mwingine tusiwe tunaonyesha kwamba tuko overly worried kwa mambo yanayo endela MALAWI, Tanzania sio a lame DUCK.
 
nasikia waHINDI nao wapo tayari nchini na wanataka kuchukua bahari ya HINDI iwe yao,wanadai ni ya kwao
Huyu mama kama ni karata bas naona anacheza na Queen of Spade.

Intel niliyonayo tayari advance team ya jamaa watu wa Chevron kwa kupitia mgongo wa jamaa wa CIA wako on the ground kwa kisingizio cha kufanya mazungumzo juu ya uwekezaji

Lakini kutokana na iterinary yao ni kuwa watatembelea makao makuu ya jeshi la Malawi, watakwenda kutazama hilo ziwa na jamaa wa Chevron lakini ukitazama list ya hao waliokuja toka US ni wazi hawa si wawekezaji bali these guys are in a war mode na mama naona she wont give up easily.

Sie bado tunatishwa hata kujenga barabara kule serengeti na NGO za Kenya, Je hawa jamaa wa Chevron wakianza kufanya vitu vyao tutawaweza?
 
Maskinin africa tunachezewatu akili na mizungu mwishowe tunaanza kupigana wao wanachukua mali zetu. Juzitu maskini wamemjengea Gadafi wa watu picha mbaya mbele ya umma wake.

Watu wake wenyewe wakamuuwa. Sasa hivi walibya wameambiwa wasahau umeme wa bure, maji, elimu, matibabu n.k bure.
Africa ni ya Africa na waafrica jamani, sio ya marekani.
Hapa ndo nayapendea maneno ya Bob Marley kwamba "will you let the system make you kill your brother man"?
 
Mkuu nakuomba ufikirie zaidi ya hapo. Tanzania ikiwa unstable kiuchumi na kisiasa ndo hawa watu wanaweza kutuibia kirahisi sana kama wanavyofanya DRC, SUDAN, LIBYA na SOMALIA.

Wanasema Poverty is a weapon of mass destruction and the USA does not has permanent friends but permanent interests. So kukaribishwa kwa JK na Obama kusikufunge macho mkuu.

Swali: Unajua ukaribu uliokuwepo kati ya Uingereza/Ufaransa na Libya kabla ya kufanyiwa kitu mbaya na hao watu? Ni zaidi ya huu wa sasa kati ya TZ na hao watu. Naomba ukumbuke daima kwamba siyo rafiki wote wanania nzuri, wengine wanakusogeza karibu ili wakuibie au wakuzuru kirahisi zaidi. Watch out my man.
 
ni bora kuamini hivyo na kuchukua hatua stahiki za kumaliza changamoto zetu bila kutegemea watu ambao wako na conflict of interest. Kimsingi ni kuwa hakuna vita barani africa ambavyo hupigwa kati ya nchi mbili za bara hili. Vita tunavyoviona huwa ni arms race ya nchi mbili au zaidi za dunia ya kwanza. Huwa nashangaa sana ninapoona baadhi ya wanajamvi wakishabikia vita eti kwa madai kuwa malawi ni ka nchi kadogo. Binafsi naona kama kuamini hivyo ni uvivu wakufikiri kwani hakuna asiyejuwa historia ya malawi na israel pamoja na uingeleza. Ni ukweli usiopingika kuwa mzungu hawezi kumuacha huyu mama katika shida kama hii kwani chanzo cha mgogoro ni muingeleza kwa mkataba wake wakati wa ukoloni na sasa kupitia kampuni yake ya utafutaji mafuta na gesi.

Kimsingi, undugu kati ya tanzania na malawi ni muhimu kuliko ziwa nyasa. Muingiliano wakibiashara na kuolena kati ya watu wa mbeya yote na wenzao wa mkoa wa kaskazini mwa malawi ni mkubwa mno. Udugu kati ya watu wa eneo la nyasa kwa upande wa tanzania na wale wa upande wa pili ni mkubwa mno kiasi cha kuzungumza lugha moja na kuwa na majina yanayolingana na ukifuatilia historia utakuta miaka ya 1950s tu hapa hawakujulikana nani ni mtanzania na nani ni mmalawi. Ni bora zaidi tukali-discuss hili suala kwa namna ya kuwataka viongozi wetu walimalize hili suala kwa njia ya amani na kila upande uwe tayari kukubariana na matokeo ya mazungumzo iwe ni mahakamani au kupitia kwa msuluhishi. Tanzania na malawi zote ni zaidi ya ziwa nyasa.

mkuu tulipigana na uganda na mpaka sasa urafiki na udugu kati ya bukoba na ug upo poa;

kama malawi wataleta za kuleta kichapo kwanza; tutanuniana miaka kadhaa na undugu wa wakonde wa rungwe utaendelea tu.....kumiliki sehemu ya ziwa ni muhimu mno.!!!
 
Mkuu nakuomba ufikirie zaidi ya hapo. Tanzania ikiwa unstable kiuchumi na kisiasa ndo hawa watu wanaweza kutuibia kirahisi sana kama wanavyofanya DRC, SUDAN, LIBYA na SOMALIA.

Wanasema Poverty is a weapon of mass destruction and the USA does not has permanent friends but permanent interests. So kukaribishwa kwa JK na Obama kusikufunge macho mkuu.

Swali: Unajua ukaribu uliokuwepo kati ya Uingereza/Ufaransa na Libya kabla ya kufanyiwa kitu mbaya na hao watu? Ni zaidi ya huu wa sasa kati ya TZ na hao watu. Naomba ukumbuke daima kwamba siyo rafiki wote wanania nzuri, wengine wanakusogeza karibu ili wakuibie au wakuzuru kirahisi zaidi. Watch out my man.

Mkuu yote uliyo sema humu nimeyazingatia wakati wa kujibu uzi huu, najuwa fika kwamba Gaddafi alipigwa risasi na jasusi wa Ufaransa na sio Mlibya kama watu wanavyo fikilia hio ilitokana na Rais Sarkozzy kutotaka Gadaffi kufichuwa siri ya kutoa mabillioni ya kimsaidia Sarkozzy katika kampeini zake Ufaransa, najuwa vile vile operation ya CIA ya kuwashughulikia wafuasi wa Al-Queda walio kuwa wanakamatwa Duniani kote wingine walikuwa wanapelekwa nchini LIBYA kwa siri kwa madhumuni ya kuwatesa ili watoe siri za mtandao wa OSAMA - ni mambo ya kustahajabisha kidogo, yaani watu hao hao wanamgehuka Gaddafi, upande wa kwetu it is a bit different.

Mimi ninacho sisitiza hapa ni kwamba CIA au Chevron haiwezi kutumika kupitia Malawi ili ku-distabalize TANZANIA!! Kusema kweli mimi naona nchi kama Rwanda, Kenya ndio wanaweza kuwa na agenda ya siri ya kutaka kuyumbisha TANZANIA, nchi kama Malawi inashinikizwa tu na nchi za kiafrica sio Merikani au Ufaransa. Kumbuka wakati wa vita vya ukombozi Kenya ilikuwa inashirikiana na Malawi na South Africa kusaidia RENAMO na SAVIMBI - usifikili ndoto zao za kutaka kuona TANZANIA imesambaratika zimekwisha, ziko pale pale mkuu; cha muhimu ni sisi kujipanga vizuri - kumbuka hata ukiwa na silaha za namna gani uwezi kuvamia nchi za wenzako bila ya kuwa na ushirikiano ya wenyeji ukafanikiwa - hii ndio iliwafanya Wamerikani kushindwa vibaya sana katika harakati zao ya kutaka kusimika tawala zinazo kidhi matakwa yao - angalia IRAQ, Afghanistani na kilicho tokea Vietnam na sasa Libya, wakati mwingine Merikani wanakuwa wagumu sana kujifunza kutokana historia iliyopita.

Watanzania kitu cha kufanya ni kushirikiana na SADC, haya mambo ya EAC hayana msiko wowote umejaa ngojera tu na fitina chungu mzima, akili zao ziko kwenye kutafuta mbinu za kupora aridhi na natural resource nyingine ndani ya TANZANIA; mambo yanavyo kwenda naona TANZANIA ifungamane kijeshi na nchi ambazo tumewahi kuzipa msaada mkubwa wakati wa vita vya ukombozi specifically:Zimbabwe, Msumbiji, Angola na South Africa basi, hatuna haja ya kuangahika na majirani zetu ambao hawatabiriki.
 
hata aomba msaada toka wapi hilo ni ziwa letu na linaitwa ziwa nyasa na siyo ziwa malawi.tuko tayari watanzania tuishi wote hasa wananchi wa kusini kuhakikisha ziwa letu haliporwi na nyag'au yeyote.
 
Back
Top Bottom