kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 14,498
- 16,688
Bado hajaacha tabia haina dawa, mazoea hujenga tabia.
Yupo vile vile wa juzi wa jana hajabadilika anataka sifa ana majigambo anatumia migongo ya watu kutaka umaarufu.
Kama vile alipoanzia kwenye sakata la watu wa ardhi kino, ndivyo anavyo wavaa watu wenye heshima bila kupima kauli zake.
Mwenyekiti usije ukasema sijakuambia lakini mpe miezi sita, halafu mtumbue anapwaya atakuangusha.
Kwa style ile na mbio zile sijui anakimbilia wapi, ukizubaa kesho atamtuma katibu mwisho wa siku makamu mwenyekiti ghafla bini vuu unapewa wiki tu ndugu mwenyekiti ugawe kilo za sukari kwa watu wazima wote wenye kupenda kunywa chai.
basi hata angeomba ushauri kwa walio mtangulia jinsi gani walihudumu kwa ufanisi, lakini sio kwa kupuyanga kule shabaha yake nini?
Mwenyekiti huyo mtu hatufai, tutakuwa hoi Serikali za Mitaa 2024 usipokuwa makini kubali ulikosea! Akikosa ushawishi na kutosikilizwa atashikia watu silaha!
TUMBUA KAMA ULIVYOTEUA!
Yupo vile vile wa juzi wa jana hajabadilika anataka sifa ana majigambo anatumia migongo ya watu kutaka umaarufu.
Kama vile alipoanzia kwenye sakata la watu wa ardhi kino, ndivyo anavyo wavaa watu wenye heshima bila kupima kauli zake.
Mwenyekiti usije ukasema sijakuambia lakini mpe miezi sita, halafu mtumbue anapwaya atakuangusha.
Kwa style ile na mbio zile sijui anakimbilia wapi, ukizubaa kesho atamtuma katibu mwisho wa siku makamu mwenyekiti ghafla bini vuu unapewa wiki tu ndugu mwenyekiti ugawe kilo za sukari kwa watu wazima wote wenye kupenda kunywa chai.
basi hata angeomba ushauri kwa walio mtangulia jinsi gani walihudumu kwa ufanisi, lakini sio kwa kupuyanga kule shabaha yake nini?
Mwenyekiti huyo mtu hatufai, tutakuwa hoi Serikali za Mitaa 2024 usipokuwa makini kubali ulikosea! Akikosa ushawishi na kutosikilizwa atashikia watu silaha!
TUMBUA KAMA ULIVYOTEUA!