Mgaya wa TUCTA umeshindwa kuwasaidia wafanyakazi miaka yote

CHUAKACHARA

JF-Expert Member
Jun 3, 2011
12,358
6,422
Bwana Mgaya umeshindwa kuwasaidia wafanyakazi for all these years eti leo unatetea utumbuaji. Shida ya wafanyakazi si utumbuaji ni mishahara midogo na PAYEE kubwa. Umekaa TUCTA hujafanikisha lolote la maana kwa wafanyakazi, leo unajitia ufahamu wa utumbuaji. Shame on you! You must step down!
 
Back
Top Bottom