Mgaya awauza walimu, atangaza mgomo alafu akimbia

Mwanaharakatihuru

JF-Expert Member
Mar 21, 2012
477
120
Mgaya ametangaza maandamano na kukimbia kipindi wafanyakazi wanahitaji muongozo kwa dhati. Mgaya umetia aibu kuu jitokeze ama ukanushe au utoe muongozo
 
...hahahaaaaaa...Mgaya!! Labda aliropoka tu pasi na kujua anazungumza nini.
 
Mukoba na Mgaya hatujafikia hatua ya kuwalinganisha. Kipindi hiki Mukoba kaamua.
 
Huyo jamaa si alipongeza polisi kumkamata mkenya kuwa ndiye mtesi wa dr.Uli. Was he serious kweli?
 
Kwaa maoni yangu porojo zimezidi kwa viongozo "Mapinduzi ya kweli yataletwa na wanaharakati wazalendo aluta continua"
 
Back
Top Bottom