Mgao wa umeme ubalozini.

Landala

JF-Expert Member
Dec 24, 2010
997
473
Juzi baada ya rais Kikwete kutoka ufaransa alipitia Marekani na alipokelewa na Obama mida ya usiku,walivyokuwa wanatoka airport kwenda hotelini sehemu zote kuna umeme isipokuwa jengo moja,Kikwete akashangaa na kumuuliza Obama hivi hata marekani kuna mgao wa umeme,Obama akamuambia hapo ni ubalozi wa Tanzania.Kikwete kusikia hivyo akawa kimya kama maji ya mtungi.
 
Juzi baada ya rais Kikwete kutoka ufaransa alipitia Marekani na alipokelewa na Obama mida ya usiku,walivyokuwa wanatoka airport kwenda hotelini sehemu zote kuna umeme isipokuwa jengo moja,Kikwete akashangaa na kumuuliza Obama hivi hata marekani kuna mgao wa umeme,Obama akamuambia hapo ni ubalozi wa Tanzania.Kikwete kusikia hivyo akawa kimya kama maji ya mtungi.

Dah! u have made ma day really!!
 
ha haaaaaaaaaaaaa haaaaaaaaaaaaaaaaaaa haaaa..................mkuu nimeipenda hiyo,unafaa kujiunga na shigongo kuendeleza mashambulizi ya hadithi ila hiyo inabidi itumwe ikulu hiii
 
ha haaaaaaaaaaaaa haaaaaaaaaaaaaaaaaaa haaaa..................mkuu nimeipenda hiyo,unafaa kujiunga na shigongo kuendeleza mashambulizi ya hadithi ila hiyo inabidi itumwe ikulu hiii

Tuko pamoja mkuu.
 
Back
Top Bottom