Landala
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 997
- 473
Juzi baada ya rais Kikwete kutoka ufaransa alipitia Marekani na alipokelewa na Obama mida ya usiku,walivyokuwa wanatoka airport kwenda hotelini sehemu zote kuna umeme isipokuwa jengo moja,Kikwete akashangaa na kumuuliza Obama hivi hata marekani kuna mgao wa umeme,Obama akamuambia hapo ni ubalozi wa Tanzania.Kikwete kusikia hivyo akawa kimya kama maji ya mtungi.