EMT Platinum Member Jan 13, 2010 14,483 15,308 Jul 16, 2011 #1 Moshi ukifuka toka mgahawa wa Epidol unaowaka moto wakati huu na faya bado hawajafika... Habari zaidi baadaye kwa hisani ya Michuzi Blog
Moshi ukifuka toka mgahawa wa Epidol unaowaka moto wakati huu na faya bado hawajafika... Habari zaidi baadaye kwa hisani ya Michuzi Blog
Saint Ivuga JF-Expert Member Aug 21, 2008 54,363 58,386 Jul 16, 2011 #2 zimamoto hawajafika? au umeme hakuna simu hazina charge
EMT Platinum Member Jan 13, 2010 14,483 15,308 Jul 16, 2011 Thread starter #3 Saint Ivuga said: zimamoto hawajafika? au umeme hakuna simu hazina charge Click to expand... Itategemea kama zina maji pia.
Saint Ivuga said: zimamoto hawajafika? au umeme hakuna simu hazina charge Click to expand... Itategemea kama zina maji pia.
Kibukuasili JF-Expert Member May 15, 2010 1,050 605 Jul 16, 2011 #4 poleni wahusika. Nakunywaga kahawa pale nikiwa na ela
Tusker Bariiiidi JF-Expert Member Jul 3, 2007 5,520 2,091 Jul 16, 2011 #5 wakachote maji ya Bahari c ipo karibu...