Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,744
- 25,447
Mfanyakazi wa usafi anahitajika. Atakuwa anafanya usafi kwenye hosteli
Mahali: Mtoni Kwa Aziz Ally
Sehemu ya kulala bure, aje na begi lake na nguo zake tu.
Jinsia: KE
Hakuna kigezo cha umri.
Mshahara wa kuanzia ni 100k
Kikubwa awe na akili timamu na mchapakazi
Piga simu : 0694139204
AMESHAPATIKANA
Mahali: Mtoni Kwa Aziz Ally
Sehemu ya kulala bure, aje na begi lake na nguo zake tu.
Jinsia: KE
Hakuna kigezo cha umri.
Mshahara wa kuanzia ni 100k
Kikubwa awe na akili timamu na mchapakazi
Piga simu : 0694139204
AMESHAPATIKANA