berylyn
JF-Expert Member
- Dec 26, 2021
- 863
- 2,534
Mfanyakazi wa kuuza duka la vyakula na vitu vingine anahitajika.
MAJUKUMU
Umri: 16-25
Mshahara 100,000 kwa kuanzia.
Kuishi- awe anaishi kwao (Madale, Goba au Tegeta)
Muda wa kazi: saa 2 asubuhi Hadi saa 3 usiku.
Elimu: uanzia darasa la saba.
Kuanza kazi: Awe tayari kuanza kazi Mara moja.
Duka lipo karibu na kituo Cha polisi Cha madale.
JINSI YA KUTUMA MAOMBI:Tuma message(WhatsApp) namba 0685566242.
Mwisho wa kupokea maombi ni 2/10/2023
MAJUKUMU
- Atauza vitu vya dukani na kutunza kumbukumbu zote za mauzo.
- Atasafisha eneo lake la kazi kila siku
Umri: 16-25
Mshahara 100,000 kwa kuanzia.
Kuishi- awe anaishi kwao (Madale, Goba au Tegeta)
Muda wa kazi: saa 2 asubuhi Hadi saa 3 usiku.
Elimu: uanzia darasa la saba.
Kuanza kazi: Awe tayari kuanza kazi Mara moja.
Duka lipo karibu na kituo Cha polisi Cha madale.
JINSI YA KUTUMA MAOMBI:Tuma message(WhatsApp) namba 0685566242.
Mwisho wa kupokea maombi ni 2/10/2023