Milonji
Senior Member
- May 26, 2022
- 153
- 494
Mkuu Maulaga59, huyu Dereva alikuwa ni Kiboko. Ameendesha pia KISWELE na RUVUMA LINE. Pale Stand alikuwa anachelewa kuondoka, badala ya Saa 12:00 yeye anaondoka Kuanzia Saa 12:20 - 12:30 Asubuhi. Wafanyabiashara wengi walikuwa wanapenda Kupanda gari alilokuwa anaendesha ili kuwahi.Hakuna kitu cha namna hiyo usidanganywe! Labda kama alikuwa anaendesha helkopta! Basi likiondoka Dar saa 12 asubuhi linaingia Njombe saa 12 jioni, na toka Njombe hadi Songea ni masaa matatu na nusu hadi manne. Unamdanganya nani wewe!
Kuna siku tumetoka Songea Saa 12:20 Asubuhi na tukafika Dar Saa 11Jioni.
Niliapa sitapanda basi ambalo yeye ni Dereva na Sijawahi Kupanda tena mpaka nimehama Songea Miaka ya 2000's. Japo nilisikia alifariki (R.I.P)