Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,913
- 2,792
- Thread starter
- #61
Hivi makalio yetu yanawazingua nini zaidi?
kuna kitu wazungu wanaita fixation-hupata hisia za kimapenzi kwa kuangalia kiungo fulani cha mwili wa mwingine regardless of jinsia. kuna kleptomaniacs- hupata hisia za kimapenzi kwa kuiba kitu fulani, kuna fetishism-kupata hisia za kimapenzi kwa kutazama kitu kilichovaliwa na mwingine e.g chupi, kiatu, kibanio cha nywele, etc. sasa makalio yamechukua % kubwa zaidi kwa upande wa wanaume, especially wa kibantu