MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,562
Red: Kwa hiyo unanithibitishia kwamba penye urembo kuna ujinga ndani yake?? I mean kila mwanamke anayeusaka urembo basi anajipeleka ujingani bila kupenda
Ndio maana nikasema baadhi ya kina dada haimaanishi wote.
Pink: unajua homons za kike na kiume ziko tofauti hata uumbikaji wake. ukiniletea skeletones full naweza kukuambia ipi ya kike na ipi ya kiume. hivyo basi uumbikaji wa makalio nao hutegemea structure ya mifupa na mshikizo wa misuli. kwa hiyo mwanamume kuota híps na makalio makubwa ni nadra na si common kutokana na maumbile. ila kwa mdada bwana.... haha utakoma mwenyewe. Sema UNATAKA majaribio?
ok. thanx