MCT walivalie njuga hili,walevi wa madaraka hawa watawauweni,komaini hadi aondoke hafai kuongoza watu kama habari zilipotoshwa kwa nini asikanushe kwa ushahidi,hovyo kabisa ni sawa na timu kufungwa halafu unabamiza TV kwa hasira,what a mayor!
Huko Bk kuna laana, maana kila jambo linaazia huko, Aids,vita ya uganda na Tz,ugonjwa 7days, kuzama mv bk na n.k