KAUDO
Senior Member
- Aug 10, 2011
- 138
- 67
Meya wa Manispaa ya Bukoba Dkt Anatory Amani ametembeza kichapo kwa mwandishi wa Gazeti la Mtanzania Audax Mutiganzi akimtuhumu kuandika habari za upotoshaji kuhusu miradi inayotekelezwa katika manispaa hasa ujenzi wa soko jipya.
Mtuhumiwa amefunguliwa kesi ya shambulio la kawaida kituo cha polisi Bukoba namba BU/RB/3161/2012.Tukio limetokea ofisi ya Meya.
Mtuhumiwa amefunguliwa kesi ya shambulio la kawaida kituo cha polisi Bukoba namba BU/RB/3161/2012.Tukio limetokea ofisi ya Meya.