baada ya kufichua uozo wa UDA,Meya wa jiji dar masaburi ameomba apewe muda kidogo ili afichue zaidi ufisadi mwingine ktk mashirika ya jiji kama DDC,KIBUKU etc!source ch10
baada ya kufichua uozo wa UDA,Meya wa jiji dar masaburi ameomba apewe muda kidogo ili afichue zaidi ufisadi mwingine ktk mashirika ya jiji kama DDC,KIBUKU etc!source ch10
Hahahahaha duh
Haya kila wiki ina kwenda kwa scene mpya ,matukio mapya director wa movie zote ni yule yule CCM. adhira ni watanzana. Maudhui ya movie ni UFISADI. Tanzania tumejaliwa wasanii. investor wa Hollywod wako wapi waje wachote vipaji hivi
Next week sijui tutaletwa scene gani na nani watakuwa washiriki
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.