William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,376
Meya Jerry Slaa asema SIASA ya UJAMAA na KUJITEGEMEA ilitufanya sisi WaTanzania kuwa Wavivu; Kuwa Wategemezi wa Serikali, kuliko kujitegemea Wenyewe....Source; MKASI
- Hatimaye kuna Mwanasiasa mwingine ambaye ameliona hili ambalo nimeliona siku nyingi sana na kulisemea sana hapa na kunileteea mfarakano na wanaompenda sana Mwalimu kwamba hawako tayari kusikia anakosolewa, nasema tena Mwalimu was great leader never ever again, lakini alikuwa na mpungufu mawili makubwa ya 1. KUTOKUJUA UCHUMI 2. HAKUPENDA KUHESHIMU SHERIA ZA JAMHURI na ni kwenye hizi hoja mbili tu ndipo Taifa letu lilipokwamba na hasa kwenye KUTOKUWA NA HESHIMA KWA SHERIA ZETU,
- I mean Kiongozi anaiba unamuita Kamati Kuu ya CCM, badala ya kumsweka Rumande na kumfikisha mahakamani matokeo Kiongozi mwizi aliyeiba Mtwara anahamishiwa Mbeya, wale mnaompenda sana Mwalimu fikeni pahali mkubali kwamba Mwalimu alikuwa binadam mwenye Mapungufu kama sisi wote wengine, ndipo mtatupa nafasi tunataka mabadiliko kuweza kujitafakari tulipokosea ndio maana Mwenyekiti Mao alisema:- "Ukiona watu wawili wanakubaliana kwa kila kitu na kwa muda mrefu sana ujue wote wagonjwa, au mmoja sio mzima."
- Tubadilike, naamuunga mkono 100% Meya Silaa kwa kuuona na kuusema wazi ukweli, kwamba siasa za Ujamaaa na Kijitegemea ndio zimetufikisha hapa tulipo hili taifa sasa tubadilike!!
KIDUMU CCM!!
LE MUTUZ