Jacobus
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 4,681
- 1,698
Namba hii ya TTCL 0738 488 207 huwa inanitumia ujumbe huu "Hongera! Umezawadiwa Tsh 7,000,000.00 Milioni Saba kutoka HALOTEL Kampuni No. 1155 Piga Simu TCRA No. 0782 771 957 ili kujaziwa fomu yako Ahsante!".
Ujumbe huu mara ya mwanzo ulinisitua na kuwa na hamu ya kuongea nae huyo jamaa wa TCRA lakini hakupatikana.
Usiku wa kuamkia leo ujumbe huu umetumwa tena, sijajisumbua kumtafuta ila nimeonelea kuwasilisha JF kwa ushauri zaidi.
Ujumbe huu mara ya mwanzo ulinisitua na kuwa na hamu ya kuongea nae huyo jamaa wa TCRA lakini hakupatikana.
Usiku wa kuamkia leo ujumbe huu umetumwa tena, sijajisumbua kumtafuta ila nimeonelea kuwasilisha JF kwa ushauri zaidi.